GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,052
- 107,535
Nimecheka sana kwamba sasa Hakuna ufisadi??, nimeamini kuwa maccm ni 0 IQ
' Morons ' kama Wewe huwa hamnipotezei muda wangu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana kwamba sasa Hakuna ufisadi??, nimeamini kuwa maccm ni 0 IQ
Nipo Vietnam ya Tanzania ambayo ndiyo inayolengwa hapa. Mtanyooka tu!
Nimecheka sana kwamba sasa Hakuna ufisadi??, nimeamini kuwa maccm ni 0 IQ
Wenye akili tu ndo wanaweza kunijibu, we huweziNaona bado tu ni muendelezo wako wa Hoja zako ' dhaifu ' ambazo haziwezi kupoteza muda wangu Kuzijibu / Kukujibu.
Hao wajinga hawajui tafsiri ya neno ufisadi,Ni kichekesho cha karne, unapambana na ufisadi kisha kinara wa kupambana na ufisadi anapata madaraka kwa wizi wa kura na kuhujumu uchaguzi! Kweli kuwa mtu mweusi ni burudani nyingine ndani ya hii dunia. Sasa hivi hakuna mapambano ya ufisadi, bali mapambano ya matumizi ya neno fisadi.
Hii ni dizaini mpya ya ku-save muda kwa kujibu bila kujibu!!Naona bado tu ni muendelezo wako wa Hoja zako ' dhaifu ' ambazo haziwezi kupoteza muda wangu Kuzijibu / Kukujibu.
Nilidhani unamaanisha utapeli unaofanya na ccm kwenye mfumo wa uchaguzi huu na ujao,Utapeli na wizi na ujanja ujanja utakwisha
Pigeni kazi
Ukipewa kazi na hela umepewa dawa ni kuimaliza na kwenda kutafuta kazi nyingine
Wanyooshe mzee
Naikataa piaSwali : “unaikataa CCM na mambo yake yote, na
fahari zake zote”?
Mimi : Ninaikataa.
Ulitisha uliposema ufisadi umekwisha' Morons ' kama Wewe huwa hamnipotezei muda wangu hapa.
Mpambana na ufisadi hataki kukaguliwa na CAG.Tanzania ya sasa siyo ya Kudekezana na Kubembeleza hovyo na Wapumbavu na Wazembe bali ni ile ya Kazi Kazi tu na ' Result Oriented ' pekee. Kama mnataka Kuchekewa Kuchekewa subirini akija ' Mnafiki ' wenu mwingine mnayemtaka ila kwa huyu ' Shujaa ' wetu wa sasa ni mwendo wa ' Kunyoosha ' na ' Kutumbua ' tu na nina uhakika hadi akimaliza muda wake Watanzania wengi Akili zetu zitaamka na kutukaa vyema kwani tulizoeshwa vibaya na Watu ambao tulikuwa tukidhani wanatupenda lakini kumbe ndiyo hao hao walikuwa ' wakituibia ' Tanzania yetu hii, Ufisadi Kuongezeka huku hadi Wanafamilia wao wakila Keki ya Taifa hili na Kujitajirisha. Kama kuna Kitu ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ni kumfanya Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi. Namuombea kwa Mungu Maisha marefu, Afya bora, Ulinzi na Uhai wake mrefu.
Unafiki Kwangu ni Mwiko.
yesHii hii vietnamu ninayoijua? kama si mwanasiasa atakuwa mwanasihasa
NaikataaSwali : “unaikataa CCM na mambo yake yote, na
fahari zake zote”?
Mimi : Ninaikataa.
Na ww upo Vietnam au? Sizan!!
Naikubali, ila naikataa Chadema na mambo yake yote.Naikataa
Tutanyooka kwa wizi wa kura? Mwaka wa nne huu anafanya siasa mwenyewe lakini kwenye uchaguzi lazima afanye ukatili na uhayawani ili chama chake kushinda. Saa hii watu wanalazimishwa kwenda kupiga kura, kama watu wananyooka ilibidi wawe wanamsujudia, lakini wanaomsujudia ni wale aliowapa vyeo na wanaotegemea madaraka yake kutoboa.
Nakuheshimu sitaki nikujibu vibaya hivyo bora ninyamaze tu Mkuu.
Ukweli mchungu.....Tanzania ya sasa siyo ya Kudekezana na Kubembeleza hovyo na Wapumbavu na Wazembe bali ni ile ya Kazi Kazi tu na ' Result Oriented ' pekee. Kama mnataka Kuchekewa Kuchekewa subirini akija ' Mnafiki ' wenu mwingine mnayemtaka ila kwa huyu ' Shujaa ' wetu wa sasa ni mwendo wa ' Kunyoosha ' na ' Kutumbua ' tu na nina uhakika hadi akimaliza muda wake Watanzania wengi Akili zetu zitaamka na kutukaa vyema kwani tulizoeshwa vibaya na Watu ambao tulikuwa tukidhani wanatupenda lakini kumbe ndiyo hao hao walikuwa ' wakituibia ' Tanzania yetu hii, Ufisadi Kuongezeka huku hadi Wanafamilia wao wakila Keki ya Taifa hili na Kujitajirisha. Kama kuna Kitu ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ni kumfanya Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi. Namuombea kwa Mungu Maisha marefu, Afya bora, Ulinzi na Uhai wake mrefu.
Unafiki Kwangu ni Mwiko.