Mshukuru sana mikutano ya siasa ilivyopigwa marufuku maana idadi ya kupotea ingekuwa kubwa sana

Nipo Vietnam ya Tanzania ambayo ndiyo inayolengwa hapa. Mtanyooka tu!

Tutanyooka kwa wizi wa kura? Mwaka wa nne huu anafanya siasa mwenyewe lakini kwenye uchaguzi lazima afanye ukatili na uhayawani ili chama chake kushinda. Saa hii watu wanalazimishwa kwenda kupiga kura, kama watu wananyooka ilibidi wawe wanamsujudia, lakini wanaomsujudia ni wale aliowapa vyeo na wanaotegemea madaraka yake kutoboa.
 
Nimecheka sana kwamba sasa Hakuna ufisadi??, nimeamini kuwa maccm ni 0 IQ

Ni kichekesho cha karne, unapambana na ufisadi kisha kinara wa kupambana na ufisadi anapata madaraka kwa wizi wa kura na kuhujumu uchaguzi! Kweli kuwa mtu mweusi ni burudani nyingine ndani ya hii dunia. Sasa hivi hakuna mapambano ya ufisadi, bali mapambano ya matumizi ya neno fisadi.
 
Ni kichekesho cha karne, unapambana na ufisadi kisha kinara wa kupambana na ufisadi anapata madaraka kwa wizi wa kura na kuhujumu uchaguzi! Kweli kuwa mtu mweusi ni burudani nyingine ndani ya hii dunia. Sasa hivi hakuna mapambano ya ufisadi, bali mapambano ya matumizi ya neno fisadi.
Hao wajinga hawajui tafsiri ya neno ufisadi,
Kufanya hujuma kwenye uchaguzi ili ishinde ni ufisadi pia
 
Tanzania ya sasa siyo ya Kudekezana na Kubembeleza hovyo na Wapumbavu na Wazembe bali ni ile ya Kazi Kazi tu na ' Result Oriented ' pekee. Kama mnataka Kuchekewa Kuchekewa subirini akija ' Mnafiki ' wenu mwingine mnayemtaka ila kwa huyu ' Shujaa ' wetu wa sasa ni mwendo wa ' Kunyoosha ' na ' Kutumbua ' tu na nina uhakika hadi akimaliza muda wake Watanzania wengi Akili zetu zitaamka na kutukaa vyema kwani tulizoeshwa vibaya na Watu ambao tulikuwa tukidhani wanatupenda lakini kumbe ndiyo hao hao walikuwa ' wakituibia ' Tanzania yetu hii, Ufisadi Kuongezeka huku hadi Wanafamilia wao wakila Keki ya Taifa hili na Kujitajirisha. Kama kuna Kitu ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ni kumfanya Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi. Namuombea kwa Mungu Maisha marefu, Afya bora, Ulinzi na Uhai wake mrefu.

Unafiki Kwangu ni Mwiko.
Mpambana na ufisadi hataki kukaguliwa na CAG.
 
Wewe kilaza na wao wangeanza kupotea..si tunakunywa nao bia huku uswazi
 
Tutanyooka kwa wizi wa kura? Mwaka wa nne huu anafanya siasa mwenyewe lakini kwenye uchaguzi lazima afanye ukatili na uhayawani ili chama chake kushinda. Saa hii watu wanalazimishwa kwenda kupiga kura, kama watu wananyooka ilibidi wawe wanamsujudia, lakini wanaomsujudia ni wale aliowapa vyeo na wanaotegemea madaraka yake kutoboa.

Nakuheshimu sitaki nikujibu vibaya hivyo bora ninyamaze tu Mkuu.
 
Nakuheshimu sitaki nikujibu vibaya hivyo bora ninyamaze tu Mkuu.

Ni jibu tu maana kwangu kujibiwa vibaya ni kama chakula chenye pilipili ambapo kwangu ni burudani, na hizo lugha mbaya nazimudu hivyo usipate shida kwani majibu yake pia ninayo. Pamoja na hayo haimaanishi pia sikuheshimu, ila ukileta lugha yoyote ya kibazazi basi majibu yatakuwa ya kibaazazi vile vile
 
Tanzania ya sasa siyo ya Kudekezana na Kubembeleza hovyo na Wapumbavu na Wazembe bali ni ile ya Kazi Kazi tu na ' Result Oriented ' pekee. Kama mnataka Kuchekewa Kuchekewa subirini akija ' Mnafiki ' wenu mwingine mnayemtaka ila kwa huyu ' Shujaa ' wetu wa sasa ni mwendo wa ' Kunyoosha ' na ' Kutumbua ' tu na nina uhakika hadi akimaliza muda wake Watanzania wengi Akili zetu zitaamka na kutukaa vyema kwani tulizoeshwa vibaya na Watu ambao tulikuwa tukidhani wanatupenda lakini kumbe ndiyo hao hao walikuwa ' wakituibia ' Tanzania yetu hii, Ufisadi Kuongezeka huku hadi Wanafamilia wao wakila Keki ya Taifa hili na Kujitajirisha. Kama kuna Kitu ambacho namshukuru Mwenyezi Mungu ni kumfanya Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi. Namuombea kwa Mungu Maisha marefu, Afya bora, Ulinzi na Uhai wake mrefu.

Unafiki Kwangu ni Mwiko.
Ukweli mchungu.....
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom