"Mshtakiwa hakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo". Sasa kwanini hawawapelekagi mahakama sahihi?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

aaaaaaaasdfggg.jpg


Kwa kipindi cha muda mrefu nimekuwa nikikutana na statement hii katika media za hapa nchini hususan linapokuja suala la serious crimes kama mauaji, ujambazi au uhujumu uchumi.

"Mshtakiwa hakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo". Sasa kama wanajua mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kwanini walimpeleka? Au hiyo mamlaka waliijulia pale pale baada ya kuambiwa na hakimu kuwa sisi hatuna uwezo wa kusikiliza kesi hizi?

Kama wanajua tangia zamani kuwa mahakama fulani huwa hazisikiliza kesi hizi, kwanini sasa huwa hawawapelekagi moja kwa moja katika mahakama sahihi ili huyo mtuhumiwa ajibu chochote kitu?

Wataalam ninaombeni ufafanuzi wenu juu ya hili tafadhali.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Inaitwa commital proceedings,

Wakati huu hutumiwa ili kuhakikisha kila kitu kuhusiana na shauri hilo ikiwemo ushahidi unakuwa umekamilika,

Mambo yakishaiva kesi hupelekwa mahakama husika kwa ajili ya kusikilizwa huko sasa longolongo hakuna.
 
Hii imetokana na sheria iliyotungwa zamani kipindi masjala (registry) za mahakama kuu zikiwa ni chache.

Sheria inataka mtuhumiwa akishikiliwa kihalali kituo cha polisi afikishwe mahakamani ndani ya masaa 24 toka alipokamatwa. Kosa la mauaji, mahakama yenye uwezo wa kusikiliza ni mahakama Kuu. Sasa mfano mtu amefanya kosa kijijini Ipopoo huko Ifakara, mkoa wa Morogoro mpaka sasa hakuna masjala ya Mahakama Kuu, huyu mtu inabidi aletwe Dar es Salaam, ambako ni safari ya siku 2-3 kwa treni (ambayo ndio njia nafuu na ya uhakika). Hapo ni kusomewa shtaka tu na sio kutoa ushahidi, halafu arudishwe mahabusu upelelezi uendelee kufanyika kule Ipopoo anakotuhukiwa kufanya mauaji.

Hii ndio ikasababisha watu wawe wanapelekwa mahakama yoyote iliyo karibu ili kukidhi takwa la mtuhumiwa kufikishwa mahakamani na kusomewa shtaka lake ndani ya masaa 24 toka kukamatwa kwake.

Kwa sasa mahakama kuu imejenga ofisi zake mikoa mingi, ingawa bado changamoto ni barabara zetu..wangeweza kurekebisha sheria watuhumiwa wafikishwe moja kwa moja katika mahakama sahihi.
 
Hii imetokana na sheria iliyotungwa zamani kipindi masjala (registry) za mahakama kuu zikiwa ni chache.

Sheria inataka mtuhumiwa akishikiliwa kihalali kituo cha polisi afikishwe mahakamani ndani ya masaa 24 toka alipokamatwa. Kosa la mauaji, mahakama yenye uwezo wa kusikiliza ni mahakama Kuu. Sasa mfano mtu amefanya kosa kijijini Ipopoo huko Ifakara, mkoa wa Morogoro mpaka sasa hakuna masjala ya Mahakama Kuu, huyu mtu inabidi aletwe Dar es Salaam, ambako ni safari ya siku 2-3 kwa treni (ambayo ndio njia nafuu na ya uhakika). Hapo ni kusomewa shtaka tu na sio kutoa ushahidi, halafu arudishwe mahabusu upelelezi uendelee kufanyika kule Ipopoo anakotuhukiwa kufanya mauaji.

Hii ndio ikasababisha watu wawe wanapelekwa mahakama yoyote iliyo karibu ili kukidhi takwa la mtuhumiwa kufikishwa mahakamani na kusomewa shtaka lake ndani ya masaa 24 toka kukamatwa kwake.

Kwa sasa mahakama kuu imejenga ofisi zake mikoa mingi, ingawa bado changamoto ni barabara zetu..wangeweza kurekebisha sheria watuhumiwa wafikishwe moja kwa moja katika mahakama sahihi.

Kama ni hivyo haya yasingekuwa yanafanywa maeneo ambayo miaka yote yana Mahakama Kuu. Hakuna kesi ya murder ingekuwa imewahi kusomwa Kisutu.
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

View attachment 1641733

Kwa kipindi cha muda mrefu nimekuwa nikikutana na statement hii katika media za hapa nchini hususan linapokuja suala la serious crimes kama mauaji, ujambazi au uhujumu uchumi.

"Mshtakiwa hakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo". Sasa kama wanajua mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kwanini walimpeleka? Au hiyo mamlaka waliijulia pale pale baada ya kuambiwa na hakimu kuwa sisi hatuna uwezo wa kusikiliza kesi hizi?

Kama wanajua tangia zamani kuwa mahakama fulani huwa hazisikiliza kesi hizi, kwanini sasa huwa hawawapelekagi moja kwa moja katika mahakama sahihi ili huyo mtuhumiwa ajibu chochote kitu?

Wataalam ninaombeni ufafanuzi wenu juu ya hili tafadhali.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hata mgonjwa haendi moja kwa moja kwa daktari bingwa ambao wapo wachache, hupokelewa kwanza na manesi. Mahakama kubwa zipo chache sawa na hospitali za rufaa lazma uanze hospitali za kawaida ndiyo uende hospitali kuu. La sivyo mahakama kuu zitaelemewa na kazi
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

View attachment 1641733

Kwa kipindi cha muda mrefu nimekuwa nikikutana na statement hii katika media za hapa nchini hususan linapokuja suala la serious crimes kama mauaji, ujambazi au uhujumu uchumi.

"Mshtakiwa hakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo". Sasa kama wanajua mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kwanini walimpeleka? Au hiyo mamlaka waliijulia pale pale baada ya kuambiwa na hakimu kuwa sisi hatuna uwezo wa kusikiliza kesi hizi?

Kama wanajua tangia zamani kuwa mahakama fulani huwa hazisikiliza kesi hizi, kwanini sasa huwa hawawapelekagi moja kwa moja katika mahakama sahihi ili huyo mtuhumiwa ajibu chochote kitu?

Wataalam ninaombeni ufafanuzi wenu juu ya hili tafadhali.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Na ile ya kusema mshitakiwa amenyimwa dhamana kwakuwa upelelezi bado hauja kamilika. Sasa walimkamata wa nini ikiwa hawakuwa na ushahidi kuwa ana makosa? Wampeleleze kwanza kisha wamkamate.

Au utashikia wakili wa upande wa mashitaka ameomba mshitakiwa asipewe dhamana kwakuwa atavuruga upelelezi unao endelea. Au utasikia Mshitakiwa amenyimwa dhamana kutona na usalama wake!

Wakati ana kamatwa alikuwa salama leo mnasema mnamzuia kutokana na usalama wake kwani kawaomba kuwa akitoka atakuwa hatarini? Haya maneno yana kera sana!
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

View attachment 1641733

Kwa kipindi cha muda mrefu nimekuwa nikikutana na statement hii katika media za hapa nchini hususan linapokuja suala la serious crimes kama mauaji, ujambazi au uhujumu uchumi.

"Mshtakiwa hakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kesi za aina hiyo". Sasa kama wanajua mahakama haina mamlaka ya kusikiliza kwanini walimpeleka? Au hiyo mamlaka waliijulia pale pale baada ya kuambiwa na hakimu kuwa sisi hatuna uwezo wa kusikiliza kesi hizi?

Kama wanajua tangia zamani kuwa mahakama fulani huwa hazisikiliza kesi hizi, kwanini sasa huwa hawawapelekagi moja kwa moja katika mahakama sahihi ili huyo mtuhumiwa ajibu chochote kitu?

Wataalam ninaombeni ufafanuzi wenu juu ya hili tafadhali.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom