Emmanuel TM
Member
- Sep 25, 2017
- 67
- 88
Ndio nimaliza chuo na ndio rasmi nimeingia kitaa kupambana na maisha. Nimepanga mahali nasukuma maisha kwa mishe zangu ndogondogo maisha yanasonga
Sasa shida ni kwamba kuna mshkaji wangu nilisomaga naye shule ya msingi miaka ya nyuma kidogo kwa bahati nzuri tukawa washkaji ila sio kivilee sana kwasababu hatujazoeana, ushkaji wenyew ulitokea kwa sababu tulikuwa tunakaa majirani.
Sasa alikuja mkoa ninaoishi (niuweke kapuni) kutafuta riziki yake na yeye wana miradi ya familia mbali kidogo na mji, akashuka zake akaifanya kama miezi miwili hivi wakawa wameimaliza kabisaa wanasubili matokeo ya mradi wao wa kilimo
Shida iko hivi jamaa alivyomaliza akasema anakuja mjini kunisalimia then ataendelea na mishe zake nikasema sio kesi nikamkaribisha
Sasa tangu nimkaribishe mshaji hana ratiba kabisa ya kusepa ndio kwanza anataka na yeye afanye mishe zake hapahapa dah, nimefeel kama kubanwa hivi kwasababu matumizi na bills zote ni juu yangu hata sielewi anasepa lini ukicheki ndio kwanza naanza maisha
NISHAURI
NImwambie mzee baba ajisogeze niendelee na mishe zangu kwa uhuru au nimpotezee apambane na yeye hadi atakapo kuwa sawa?
Sielewi wadau nafanye nn coz hata muda atakaosepa sijui ni lini na mimi ndio sipend kabisa kubanwa
Nanitamwambiaje asepe ?
NAWASILISHA
Sasa shida ni kwamba kuna mshkaji wangu nilisomaga naye shule ya msingi miaka ya nyuma kidogo kwa bahati nzuri tukawa washkaji ila sio kivilee sana kwasababu hatujazoeana, ushkaji wenyew ulitokea kwa sababu tulikuwa tunakaa majirani.
Sasa alikuja mkoa ninaoishi (niuweke kapuni) kutafuta riziki yake na yeye wana miradi ya familia mbali kidogo na mji, akashuka zake akaifanya kama miezi miwili hivi wakawa wameimaliza kabisaa wanasubili matokeo ya mradi wao wa kilimo
Shida iko hivi jamaa alivyomaliza akasema anakuja mjini kunisalimia then ataendelea na mishe zake nikasema sio kesi nikamkaribisha
Sasa tangu nimkaribishe mshaji hana ratiba kabisa ya kusepa ndio kwanza anataka na yeye afanye mishe zake hapahapa dah, nimefeel kama kubanwa hivi kwasababu matumizi na bills zote ni juu yangu hata sielewi anasepa lini ukicheki ndio kwanza naanza maisha
NISHAURI
NImwambie mzee baba ajisogeze niendelee na mishe zangu kwa uhuru au nimpotezee apambane na yeye hadi atakapo kuwa sawa?
Sielewi wadau nafanye nn coz hata muda atakaosepa sijui ni lini na mimi ndio sipend kabisa kubanwa
Nanitamwambiaje asepe ?
NAWASILISHA