Uchaguzi 2020 Mshituko: Wananchi Kigoma mjini wamtaka Prof. Joyce Ndalichako

Maelezo ya mtoa mada hayana uzito unaostahili.Kwanza hatuna uhakika kama Mh.Zitto anaongea uzushi,uongo na hatimizi majukumu yake.Pili kampeni bado sana na ni uonevu kuendelea kutaja tajataja Mh.Zitto alifukuzwa CHADEMA wakati huo wewe sio mfuasi wa CHADEMA na yeye ni mfuasi wa chama kingine.Kama Mama atagombea poa tu Kisanduku cha kura kitatoa majibu.
Kila aapishwaye kwa mujibu wa Katiba anawajibika kutumikia Taifa.
 
Maelezo ya mtoa mada hayana uzito unaostahili.Kwanza hatuna uhakika kama Mh.Zitto anaongea uzushi,uongo na hatimizi majukumu yake.Pili kampeni bado sana na ni uonevu kuendelea kutaja tajataja Mh.Zitto alifukuzwa CHADEMA wakati huo wewe sio mfuasi wa CHADEMA na yeye ni mfuasi wa chama kingine.Kama Mama atagombea poa tu Kisanduku cha kura kitatoa majibu.
Kila aapishwaye kwa mujibu wa Katiba anawajibika kutumikia Taifa.
Ukweli utabaki milele ,kwamba Zito alifukuzwa chadema na Tundu Lisu
 
Habarini wana jukuwaa.

Kila laheri Prof Ndalichako ushinde hilo jimbo ili kupunguza wanafiki na wasaliti wa nchi yetu bungeni , itapendeza zaidi na Lisu akishindwa jimboni kwake. Hawa wasaliti wanatakiwa wakalime nyanya vijijini mwao badala ya sasa wanatumia mishahara tunayowalipa kwa kodi zetu kwenda kutusaliti kwa kutoa siri za nchi yetu kwa wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wana access ya siri gani ? Mi nachoona wanafunua uozo ambao serikali inataka kuuficha..., kama hakuna uozo kwanini mfiche vitu..., mbona mazuri kila siku yapo kwenye TV hayafichwi ? Kwa mantiki hii na mikataba yote iwe wazi kwa yoyote kutoa mawazo yake.., after all na wenyewe ni watanzania.., kama ni waongo waacheni waongope mwishoni uongo utajitenga sio kuwaziba midomo
 
Kwisha habari yako Zito Kabwe
IMG_20200124_120522.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamtake kwa lipi? Au kile kimombo alichomwaga mpaka wachina wakashindwa kuelewa wanawekwa juu ya minara ya simu au betri!!!
 
😂😂😂mshtuko huo kapata nani?? Prof Ndali aki-go inside??? Kwa kidhungu kile mshtuko lazima uwepo...



Everyday is Saturday...........:cool:
 
Taarifa nzuri sana!!!daima watu makini huchagua kiongozi makini,mtulivu,mwenye busara,asiye na makuu na Serikali yake Wala watawala wa Nchi,anayeheshimu mamlaka ya Nchi na wananchi,ambaye daima anaisaidia Serikali na kuishauri.
watu wa kigoma mkichagua profesa Ndalichako mtakuwa mmechagua tunu, Nuru na mwanga.na Tena mtakuwa mmechagua kiongozi.

acheni siku nyingine kutuletea watu aina ya Zitto Kabwe mtapata hasara bure ya kuwa na mbunge asiye na meno.
 
Back
Top Bottom