Madima
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 351
- 298
Hakumruka Maalim Seif labda hiyo ulioona ni ile ya kutengenezwa ili kuficha ukweli; ila ni kweli alimruka RC Makonda, lakini sidhani kama ni kwa kukusudia. Nadhani ni bahati mbaya tu.Kitendo hicho sasa kisiwe chanzo cha umbea humu JF tena.Hiyo ipo nimeona huko twita. Inaonesha amemruka maalim Seif halafu kampa warioba na viongozi wengine na alipofika kwa makonda amempa mwengine na hakumpa makonda.
Labda walikuwa washasalimiana.Hili limemaliza utata ni kweli kamruka pamoja na dogo kujiandaa sana kutoa mkono
Ndiyo alimsalimia Maalim Seif na kusogoa naye kidogo; binafsi nimefuatilia tukio lote. Hakumruka Maalim Seif, kamruka RC Makonda, na ukiiangalia hiyo video kwa makini, nadhani Rais leo hakutaka tu kumsalimia kwa mkono. Kwa nini, SIJUI!Kwa video iliyotumwa huko ipo hivyo labda hawakuonyesha kipande hicho.
Na pia alikua peke yake bila kuwepo na mwingine karibuHili limemaliza utata ni kweli kamruka pamoja na dogo kujiandaa sana kutoa mkono
Inaweza kuwa uko sahihi kwa % zoteIyo mbona kawaida sana ila dizaini nimeona kama makonda kajisikia vibaya hivi. Ila ni hali ya kawaida kuna ma senior wengi pale rais alikua na shauku ya kusalimiana nao akaona huyu makonda bwana mdogo alafu nimeongea nae kwenye simu asubui hapa tena nimsalimie ya kazi gani just like that sio kwa nia mbaya