Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,731
- 15,188
Mbona Thread za Magufuli mmeziibua nyingi hivi what happens?
Ni shida
Mbona Thread za Magufuli mmeziibua nyingi hivi what happens?
Yule alikuwa jambazi mpitaji tu,unaposema kazi zake zinaonekana na watu wanazitumia ni sawa tu na jambazi kumbaka mwanamke na kumpa ujauzito je mtoto atakayezaliwa nazadhani hana hatia na jamii wataishinaye tu vizuriKazi zake zinaonekana kwa macho ndiyo tatizo linaanzia hapo, hata vilaza wa chadema wanaona na kutumia kazi za Magufuli