Mshiriki wa Bss 07

kokudo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,535
1,650
Anawashka sana je anaweza kuchukua kitita?kama humjui ni yule mzungu eebwana anabamba
 
dah kanitokea na kitu Vaileth......jamaa anabamba mbaya kabisa
 
dah kanitokea na kitu Vaileth......jamaa anabamba mbaya kabisa
Tangu BSS imeanza cjawahi kuwa na interest ya kuiangalia lakini leo imetokea nikiwa pande za Mikumi ambapo tumecmama kupata msosi ndo nimemuona. Dah jamaa anawabamba kichiz kwa sababu ya kujua kiswahili ndo maana ana draw attention ya watamazaji. Kwa kweli ni mzuri.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom