beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ameomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza kwa abiria wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) waliokuwa wasafiri kutoka Johannesburg kwenda jijini Dar
Ameomba radhi hiyo kutokana na abiria hao kushindwa kusafiri kutoka uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg baada ya ndege hiyo kushindwa kufanya safari kama ilivyopangwa kutokana na kuzuiwa
Kwa mujibu wa taarifa ambayo Serikali imepokea, ndege hiyo imezuiwa kwa amri ya Mahakama Kuu ya Gauteng, Johannesburg na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inafuatilia ili ndege iachiwe
Kesi imefunguliwa na Hermanus Phillipus Steyn
Ameomba radhi hiyo kutokana na abiria hao kushindwa kusafiri kutoka uwanja wa Oliver Tambo jijini Johannesburg baada ya ndege hiyo kushindwa kufanya safari kama ilivyopangwa kutokana na kuzuiwa
Kwa mujibu wa taarifa ambayo Serikali imepokea, ndege hiyo imezuiwa kwa amri ya Mahakama Kuu ya Gauteng, Johannesburg na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inafuatilia ili ndege iachiwe
Kesi imefunguliwa na Hermanus Phillipus Steyn