sasa kama mshindi kishajulikana tunakwenda ukumbini kufanya nini?Jamani kijana ana kipaji si mchezo..leo hii najaribu kumwangalia na nyimbo atakazo toka nazo kwenye final kwa kweli mtakaokuwepo hakuna atakaejutia kiingilio...njo ujamjaze mtoto beatrice mahela
nawatakia kila la kheri washindi wote
Jamani kijana ana kipaji si mchezo..leo hii najaribu kumwangalia na nyimbo atakazo toka nazo kwenye final kwa kweli mtakaokuwepo hakuna atakaejutia kiingilio...njo ujamjaze mtoto beatrice mahela
nawatakia kila la kheri washindi wote
......Nyanyua Salama aimbe..uone balaa....
jamani mshindi wetu wa leo ni huyu
Paschal Cassian BSS 17 - Mwanza
nyakati zinaonyesha na kama itakuwa fair
Lazima FL1 utakuwa mnyarugusu. Kweli huu mwaka wa Mwanza.
sikila kitu ambacho IAN ANAFANYA lazima Jugde wa BSS afanye, huo ni upungufu wa AKILI,.Tusker Project Fame wamemaliza Yule Alphani ni balaa....Judge Ian Kafanya mambo hapo...kuimba ni mzima...MC nae ni balaa...Team ilikuwa imejitosheleza....BSS kufika hapo ni ndoto......Nyanyua Salama aimbe..uone balaa
Kinachouma zaidi ni kwamba, wale ambao hatuna mpango wa kwenda kuminyanya diamond jubilee hatutapata nfasi ya kuangalia coz hakuna umeme so no tv, oh this contry bwana.........