Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa wanaendelea na operesheni maalum ya kuimarisha chama jijini DSM
Akithibitisha habari hizi Msemaji mkuu wa Chadema Tumaini Makene amesema Operesheni Mshikemshike Mzizima leo itaendelea kama ifuatavyo;
Mwenyekiti atakuwa Kigamboni-Vijibweni. Kuanzia saa 8 mchana atakuwa na kikao cha briefing ofisi ya kata, atatembelea matawi na kuzindua ofisi kadhaa za misingi na matawi kisha atakwenda Kwenye mkutano wa had hara Mtaa wa Upendo.
Katibu Mkuu; kuanzia saa 8 atakuwa njia panda ya Mabibo Manzese ambapo atapiga mtaa kwa mtaa kufungua matawi kisha ataelekea eneo la mkutano, Mnazi Mmoja- Tip Top Manzese.
Hii ni operesheni maalum kwa Dar es Salaam iliyozinduliwa jana na Mkiti wa Taifa mitaa ya Kijitonyama. Itafanyika Kwa miezi 4. Itakuwa mtaa Kwa mtaa, kijiwe Kwa kijiwe na nyumba Kwa nyumba maeneo ya 'uswahilini'.
Akithibitisha habari hizi Msemaji mkuu wa Chadema Tumaini Makene amesema Operesheni Mshikemshike Mzizima leo itaendelea kama ifuatavyo;
Mwenyekiti atakuwa Kigamboni-Vijibweni. Kuanzia saa 8 mchana atakuwa na kikao cha briefing ofisi ya kata, atatembelea matawi na kuzindua ofisi kadhaa za misingi na matawi kisha atakwenda Kwenye mkutano wa had hara Mtaa wa Upendo.
Katibu Mkuu; kuanzia saa 8 atakuwa njia panda ya Mabibo Manzese ambapo atapiga mtaa kwa mtaa kufungua matawi kisha ataelekea eneo la mkutano, Mnazi Mmoja- Tip Top Manzese.
Hii ni operesheni maalum kwa Dar es Salaam iliyozinduliwa jana na Mkiti wa Taifa mitaa ya Kijitonyama. Itafanyika Kwa miezi 4. Itakuwa mtaa Kwa mtaa, kijiwe Kwa kijiwe na nyumba Kwa nyumba maeneo ya 'uswahilini'.
Last edited by a moderator: