Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,610
Habarini,
Nina imani hamjambo, leo ninataka kushika mkono watu kadhaa ambao nitavutiwa na kile ambacho wanakifanya.
Kama unaamini kazi/shughuli unayofanya ina upekee na jamii itapata kujifunza kupitia kazi yako unayofanya basi naomba uelezee kwa ufupi aina ya kazi unayofanya (huenda usiwe wewe ila kama kuna mtu yeyote ambaye anajihusisha na kazi ambayo unaamini ni ya kipekee ila tu iwe halali basi nikutanishe naye)
Andika kwa ufupi kazi unayofanya nikipata kazi ambayo itakuwa na kitu cha kujifunza basi nitaku- DM ili kuona namna tunavyoweza kuiambia jamii kwa kile anachojihusisha nacho.
(Kwa watakaokuwa Dar es Salaam nitawapa kipaumbele cha kwanza)
Karibuni.
Nina imani hamjambo, leo ninataka kushika mkono watu kadhaa ambao nitavutiwa na kile ambacho wanakifanya.
Kama unaamini kazi/shughuli unayofanya ina upekee na jamii itapata kujifunza kupitia kazi yako unayofanya basi naomba uelezee kwa ufupi aina ya kazi unayofanya (huenda usiwe wewe ila kama kuna mtu yeyote ambaye anajihusisha na kazi ambayo unaamini ni ya kipekee ila tu iwe halali basi nikutanishe naye)
Andika kwa ufupi kazi unayofanya nikipata kazi ambayo itakuwa na kitu cha kujifunza basi nitaku- DM ili kuona namna tunavyoweza kuiambia jamii kwa kile anachojihusisha nacho.
(Kwa watakaokuwa Dar es Salaam nitawapa kipaumbele cha kwanza)
Karibuni.