mkuu hatutaki masharti tunataka free kila kituFree training zipo mashart utayaweza?
hihiihiimkuu hatutaki masharti tunataka free kila kitu
Kama una muda wa kutosha utafahamu chart ya xm inaweza kutofautiana na ya tickmill n.k., kwa urefu wa candle.Kwa ujumla tu nikujibu kwamba kama vile bidhaa fulani mfano nyanya inavyopanda bei (maana yake nyanya zimekuwa adimu hivyo mahitaji ya nyanya ni makubwa. Hii ndio hupelekea nyanya kupand bei) au nyanya kushuka bei (maana yake nyanya zimekuwa nyingi sokoni kuliko mahitaji ya watumuaji wa nyanya - hivyo hupelekea nyanya kushuka bei sokoni).
Hivyo hivyo kwa upande wa fedha mfano USD inapopanda thamani maana yake ni kwamba kuna upungufu wa hiyo pesa kwenye mzunguko (sokoni) mahitaji ya hiyo fedha ni makubwa hivyo watu wengi wanainunua hiyo fedha. Na kinyume chake pia ni sahihi.
Kwa hiyo chati (graph) ya fedha (currency) inapokuwa inapanda maana yake ni kwamba watu wengi wanainunua hiyo fedha (mahitaji ya hiyo pesa ni makubwa-wanunuzi ni wengi) kuliko wanauza hiyo fedha. Na chati ya hiyo fedha inapokuwa inashuka maanake ni kwamba thamani ya hiyo pesa imeshuka na wanaotaka kuiuza ni wengi kuliko wanataka kuinunua.
sasa nyie tayar si mnadownload tu haina shida na tuhela tudogo hutu nyie mtapata kwenye forex maaana mnaijuahihiihii
Shida si hela man when we were started the journey..., kwa upande wangu haikua rahisi hata kidogo hakukua na watu kama hivi mnaopiga nao story, even wano show blue screen hat red tu hakuna zaidi ya wakatisha tamaa(wengineo wamefanikiwa ),loose money,hope,kusemwa,kukesha,kusahau chakula, n.ksasa nyie tayar si mnadownload tu haina shida na tuhela tudogo hutu nyie mtapata kwenye forex maaana mnaijua
iko connected na bank zote duniani?Kwa ujumla tu nikujibu kwamba kama vile bidhaa fulani mfano nyanya inavyopanda bei (maana yake nyanya zimekuwa adimu hivyo mahitaji ya nyanya ni makubwa. Hii ndio hupelekea nyanya kupand bei) au nyanya kushuka bei (maana yake nyanya zimekuwa nyingi sokoni kuliko mahitaji ya watumuaji wa nyanya - hivyo hupelekea nyanya kushuka bei sokoni).
Hivyo hivyo kwa upande wa fedha mfano USD inapopanda thamani maana yake ni kwamba kuna upungufu wa hiyo pesa kwenye mzunguko (sokoni) mahitaji ya hiyo fedha ni makubwa hivyo watu wengi wanainunua hiyo fedha. Na kinyume chake pia ni sahihi.
Kwa hiyo chati (graph) ya fedha (currency) inapokuwa inapanda maana yake ni kwamba watu wengi wanainunua hiyo fedha (mahitaji ya hiyo pesa ni makubwa-wanunuzi ni wengi) kuliko wanauza hiyo fedha. Na chati ya hiyo fedha inapokuwa inashuka maanake ni kwamba thamani ya hiyo pesa imeshuka na wanaotaka kuiuza ni wengi kuliko wanataka kuinunua.
tuchukulie mfano wa USD iko nchi zote duniani. ina maana chart ya forex iko connected na financial institution zote dunian kiasi kwamba wanataarifa ya kila dola inayouzwa na kununuliwa kila dakika? inawezekana kweli?Ngumu sana kukuelesha na kuelewa kupitia hapa, ila kifupi ni mambo ya kichumi zaidi, Exchange rate ya pesa inabadilika kutokana na force of demand na supply ya pesa husika, mfano USDCHF, hivyo kupanda na kushuka kwa graph kunasababishwa na hizo force, so hakuna mtu aliejificha sehem nakuanza kulichora lile graph mkuu,
Nikueleweshe vyema tu, Sarafu zipo in pair so shughuli zote zinazoendelea ktk izo sarafu mbili ndo zinafanya soko li move any action /reaction inayohusu pesa inakua reflected ktk soko ilotuchukulie mfano wa USD iko nchi zote duniani. ina maana chart ya forex iko connected na financial institution zote dunian kiasi kwamba wanataarifa ya kila dola inayouzwa na kununuliwa kila dakika? inawezekana kweli?
Exchange rate ipo kwa kila pesa iliyopo duniani so ufananishaji wa nguvu ya pesa ni rahisi, but kwenye FOREX kuna baadhi ya pesa hazipo sokonituchukulie mfano wa USD iko nchi zote duniani. ina maana chart ya forex iko connected na financial institution zote dunian kiasi kwamba wanataarifa ya kila dola inayouzwa na kununuliwa kila dakika? inawezekana kweli?