Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Kwa ujumla tu nikujibu kwamba kama vile bidhaa fulani mfano nyanya inavyopanda bei (maana yake nyanya zimekuwa adimu hivyo mahitaji ya nyanya ni makubwa. Hii ndio hupelekea nyanya kupand bei) au nyanya kushuka bei (maana yake nyanya zimekuwa nyingi sokoni kuliko mahitaji ya watumuaji wa nyanya - hivyo hupelekea nyanya kushuka bei sokoni).

Hivyo hivyo kwa upande wa fedha mfano USD inapopanda thamani maana yake ni kwamba kuna upungufu wa hiyo pesa kwenye mzunguko (sokoni) mahitaji ya hiyo fedha ni makubwa hivyo watu wengi wanainunua hiyo fedha. Na kinyume chake pia ni sahihi.

Kwa hiyo chati (graph) ya fedha (currency) inapokuwa inapanda maana yake ni kwamba watu wengi wanainunua hiyo fedha (mahitaji ya hiyo pesa ni makubwa-wanunuzi ni wengi) kuliko wanauza hiyo fedha. Na chati ya hiyo fedha inapokuwa inashuka maanake ni kwamba thamani ya hiyo pesa imeshuka na wanaotaka kuiuza ni wengi kuliko wanataka kuinunua.
Kama una muda wa kutosha utafahamu chart ya xm inaweza kutofautiana na ya tickmill n.k., kwa urefu wa candle.
Hii huwa mnaiita stop loss / buy stop hunting kipindi house inamanipulate price kwa faida yake.
Hivyo broker anao uwezo wakuchezesha price na spread kwa manufaa yao ndiomaana brokers wengi wanasajili kampuni zao kwenye nchi zenye sheria rafiki kwao
 
sasa nyie tayar si mnadownload tu haina shida na tuhela tudogo hutu nyie mtapata kwenye forex maaana mnaijua
Shida si hela man when we were started the journey..., kwa upande wangu haikua rahisi hata kidogo hakukua na watu kama hivi mnaopiga nao story, even wano show blue screen hat red tu hakuna zaidi ya wakatisha tamaa(wengineo wamefanikiwa ),loose money,hope,kusemwa,kukesha,kusahau chakula, n.k

so mtu anavyokuambia pay hana maana anashida no either yes, ila kama anajua means ana kupunguzia ile hustler curve na kuepuka hasara sisizo za lazima
 
Kwa ujumla tu nikujibu kwamba kama vile bidhaa fulani mfano nyanya inavyopanda bei (maana yake nyanya zimekuwa adimu hivyo mahitaji ya nyanya ni makubwa. Hii ndio hupelekea nyanya kupand bei) au nyanya kushuka bei (maana yake nyanya zimekuwa nyingi sokoni kuliko mahitaji ya watumuaji wa nyanya - hivyo hupelekea nyanya kushuka bei sokoni).
Hivyo hivyo kwa upande wa fedha mfano USD inapopanda thamani maana yake ni kwamba kuna upungufu wa hiyo pesa kwenye mzunguko (sokoni) mahitaji ya hiyo fedha ni makubwa hivyo watu wengi wanainunua hiyo fedha. Na kinyume chake pia ni sahihi.
Kwa hiyo chati (graph) ya fedha (currency) inapokuwa inapanda maana yake ni kwamba watu wengi wanainunua hiyo fedha (mahitaji ya hiyo pesa ni makubwa-wanunuzi ni wengi) kuliko wanauza hiyo fedha. Na chati ya hiyo fedha inapokuwa inashuka maanake ni kwamba thamani ya hiyo pesa imeshuka na wanaotaka kuiuza ni wengi kuliko wanataka kuinunua.
iko connected na bank zote duniani?
 
Ngumu sana kukuelesha na kuelewa kupitia hapa, ila kifupi ni mambo ya kichumi zaidi, Exchange rate ya pesa inabadilika kutokana na force of demand na supply ya pesa husika, mfano USDCHF, hivyo kupanda na kushuka kwa graph kunasababishwa na hizo force, so hakuna mtu aliejificha sehem nakuanza kulichora lile graph mkuu,
tuchukulie mfano wa USD iko nchi zote duniani. ina maana chart ya forex iko connected na financial institution zote dunian kiasi kwamba wanataarifa ya kila dola inayouzwa na kununuliwa kila dakika? inawezekana kweli?
 
tuchukulie mfano wa USD iko nchi zote duniani. ina maana chart ya forex iko connected na financial institution zote dunian kiasi kwamba wanataarifa ya kila dola inayouzwa na kununuliwa kila dakika? inawezekana kweli?
Nikueleweshe vyema tu, Sarafu zipo in pair so shughuli zote zinazoendelea ktk izo sarafu mbili ndo zinafanya soko li move any action /reaction inayohusu pesa inakua reflected ktk soko ilo

Ila kama ni action KUBWA mfano inaikumba Usd basi itahadhiri pair zote zenye sarafu ya USD

kuna kitu kinaitwa correlation yani pair flan zina move either same direction or kinyume mfano Gold(XAUSD) ikipanda basi huku USDJPY itashuka

Banaee mengine google
 
Telegram https://t.me/brightforextanzaniainstitute


Gold
IMG_20190429_173704_316.jpeg
 
tuchukulie mfano wa USD iko nchi zote duniani. ina maana chart ya forex iko connected na financial institution zote dunian kiasi kwamba wanataarifa ya kila dola inayouzwa na kununuliwa kila dakika? inawezekana kweli?
Exchange rate ipo kwa kila pesa iliyopo duniani so ufananishaji wa nguvu ya pesa ni rahisi, but kwenye FOREX kuna baadhi ya pesa hazipo sokoni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom