Hii imekaaje mkuu?Hahahahaha karibu tupige Volatility indices (v75,50, 100)... Ni masaa 24 kwa siku 7.// 24/7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imekaaje mkuu?Hahahahaha karibu tupige Volatility indices (v75,50, 100)... Ni masaa 24 kwa siku 7.// 24/7
Kwani ile mishale ya SAA huwa inachezeshwa na nani ???hivi ni nani anaechezesha ile chart ya forex?
Ngumu sana kukuelesha na kuelewa kupitia hapa, ila kifupi ni mambo ya kichumi zaidi, Exchange rate ya pesa inabadilika kutokana na force of demand na supply ya pesa husika, mfano USDCHF, hivyo kupanda na kushuka kwa graph kunasababishwa na hizo force, so hakuna mtu aliejificha sehem nakuanza kulichora lile graph mkuu,hivi ni nani anaechezesha ile chart ya forex?
Mkuu kwenye Forex hakuna principal ya demand and supply .. Unaona kinachotokea kwa usdchf?? Niambie principle hiyo inafanya vipi kazi ?Ngumu sana kukuelesha na kuelewa kupitia hapa, ila kifupi ni mambo ya kichumi zaidi, Exchange rate ya pesa inabadilika kutokana na force of demand na supply ya pesa husika, mfano USDCHF, hivyo kupanda na kushuka kwa graph kunasababishwa na hizo force, so hakuna mtu aliejificha sehem nakuanza kulichora lile graph mkuu,
Pole sana mkuu, endelea kusoma vitabu utaelewa siku moja, ndo maana nikasema siwezi kuelekeza na kuelewa kupitia hapaMkuu kwenye Forex hakuna principal ya demand and supply .. Unaona kinachotokea kwa usdchf?? Niambie principle hiyo inafanya vipi kazi ?
mkuu kunywa maji kwanza upunguze munkari forex sio majibu ya siku moja kubadilisha maisha ni mwendo wa muda mrefu kidg mpka kuwa financially stable.Sina shida na hii biashara, na si kwamba mimi sihitaji, ukweli ni kwamba nahitaji sana lakini tatizo nimeshindwa kushuhudia bila shaka kuanzia mitandaoni mpaka kwa mtu ninayemfahamu niliyetegemea angenifumbua
Huwa najiuliza, Mtanzania huyu huyu asiyepitwa na fursa anahitaji nguvu kubwa kiasi gani kujua ishu zinazoleta pesa?
Mtanzania huyu huyu ni wa kushindwa kweli kuuona utajiri kwenye Forex?
Mnasema lazima upate elimu ya Forex ama sivyo utaangukia pua, Mtanzania ninayemfahamu hata biashara ingekuwa ya kilatini hashindwi
Kuna michezo na biashara nyingi za bahati nasibu hazikuhitaji nguvu watz kujua kuna hela, hata wasiojua mpira wanabett na wanapata hela
Hata mimi nisiyebett haihitaji nguvu kunishawishi maana naona watu wakipiga pesa ninaowafahamu na nisiowafahamu
Forex imeshindwa kunishawishi kuanzia kwa watu naowafahamu na nisiowafahamu
Naletewa maneno maneno tu
Jamaa yangu ana maneno kama ya humu anasema Forex ukiingia kichwa kichwa lazima upigwe
Namuuliza yeye kapiga pesa ngapi anazunguka zunguka tu
Mbona wa betting ukimuuliza anakuonyesha hela aliyokula
Narudia tena sina shida na Forex kama unapiga pesa hata mimi natamani kupiga, ni mjinga tu asiyependa pesa
Ni nyinyi wadau wake ndio mnaleta mashaka haya
Kwa hiyo akili yako ndio ilipoishia hapa?Masonic business
Kijana nimekupa assignment moja kuhusu pair ya usdchf ambayo imekuwa na strong for couple of months now uioanishe na hiyo ptiniciple yako ila umeishia kuniambia nisome vitabu ... This is the problem with Tanzanian youths mambo ya kuelekezana na kupeana elimu na uzoefu tunaishia kupeana majivunoPole sana mkuu, endelea kusoma vitabu utaelewa siku moja, ndo maana nikasema siwezi kuelekeza na kuelewa kupitia hapa
hivi mkuu kwanini imekua vilee imepanda imepanda mrefu au ni baadhi ya taarifa za uchumiKijana nimekupa assignment moja kuhusu pair ya usdchf ambayo imekuwa na strong for couple of months now uioanishe na hiyo ptiniciple yako ila umeishia kuniambia nisome vitabu ... This is the problem with Tanzanian youths mambo ya kuelekezana na kupeana elimu na uzoefu tunaishia kupeana majivuno
Ndio maana nikataka kufahamu hiyo principal ya Demand & Supply inaelezea nini hiyo situation .. Maana kama ni kuwa overbought imeshakuwa overbought mpaka basi lakini haijashuka kinyume na hiyo principal.. Ni vitu vya kupeana na kuelekezana tu.. Labda Mimi uelewa wangu hauko sahihihivi mkuu kwanini imekua vilee imepanda imepanda mrefu au ni baadhi ya taarifa za uchumi
ndo nahitaji majibu mkuu kwanini imekua overboughtNdio maana nikataka kufahamu hiyo principal ya Demand & Supply inaelezea nini hiyo situation .. Maana kama ni kuwa overbought imeshakuwa overbought mpaka basi lakini haijashuka kinyume na hiyo principal.. Ni vitu vya kupeana na kuelekezana tu.. Labda Mimi uelewa wangu hauko sahihi
Acha kufuatilia forex hutoiweza kwa sababu hujadhamiria kuijua.Sina shida na hii biashara, na si kwamba mimi sihitaji, ukweli ni kwamba nahitaji sana lakini tatizo nimeshindwa kushuhudia bila shaka kuanzia mitandaoni mpaka kwa mtu ninayemfahamu niliyetegemea angenifumbua
Huwa najiuliza, Mtanzania huyu huyu asiyepitwa na fursa anahitaji nguvu kubwa kiasi gani kujua ishu zinazoleta pesa?
Mtanzania huyu huyu ni wa kushindwa kweli kuuona utajiri kwenye Forex?
Mnasema lazima upate elimu ya Forex ama sivyo utaangukia pua, Mtanzania ninayemfahamu hata biashara ingekuwa ya kilatini hashindwi
Kuna michezo na biashara nyingi za bahati nasibu hazikuhitaji nguvu watz kujua kuna hela, hata wasiojua mpira wanabett na wanapata hela
Hata mimi nisiyebett haihitaji nguvu kunishawishi maana naona watu wakipiga pesa ninaowafahamu na nisiowafahamu
Forex imeshindwa kunishawishi kuanzia kwa watu naowafahamu na nisiowafahamu
Naletewa maneno maneno tu
Jamaa yangu ana maneno kama ya humu anasema Forex ukiingia kichwa kichwa lazima upigwe
Namuuliza yeye kapiga pesa ngapi anazunguka zunguka tu
Mbona wa betting ukimuuliza anakuonyesha hela aliyokula
Narudia tena sina shida na Forex kama unapiga pesa hata mimi natamani kupiga, ni mjinga tu asiyependa pesa
Ni nyinyi wadau wake ndio mnaleta mashaka haya
Huyu anatakiwa kushauriwa kuacha kabisa kufuatilia habari za forexSijui hata nikusaidiaje, maana kila kitu nimeweka hapa na kinajionyesha lakin bado huamini.
Ingia kwenye volatility index huko utatrade hadi weekendWeekend kwangu ni kero kabisa sikuhizi maana si trade, siku za kazi kwangu ni furaha maana ni kuingiza hela za kigeni nchini mwangu
Yaani imegotea hapoKwa hiyo akili yako ndio ilipoishia hapa?
kabisa mkuu akae nayo mbali isije ikamtia stress maana hayuko tayari kuipa muda wa kutoshaAcha kufuatilia forex hutoiweza kwa sababu hujadhamiria kuijua.
ndo nahitaji majibu mkuu kwanini imekua overbought
Ndio maana nikataka kufahamu hiyo principal ya Demand & Supply inaelezea nini hiyo situation .. Maana kama ni kuwa overbought imeshakuwa overbought mpaka basi lakini haijashuka kinyume na hiyo principal.. Ni vitu vya kupeana na kuelekezana tu.. Labda Mimi uelewa wangu hauko sahihi
Kilichofanya ipande ni baada ya benk kuu ya uswis kukataa kubadilisha interest rate, hali iliyopelekea CHF kupoteza nguvu dhidi ya dola kama sijakosea ila..hivi mkuu kwanini imekua vilee imepanda imepanda mrefu au ni baadhi ya taarifa za uchumi
na wewe mkuu sio muwazi mama Debora amekuomba umwambie una kiasi gani kwa lot size kama zile umebaki unaruka ruka kama sungura unaogopa nini hasaKilichofanya ipande ni baada ya benk kuu ya uswis kukataa kubadilisha interest rate, hali iliyopelekea CHF kupoteza nguvu dhidi ya dola kama sijakosea ila..
It has to do with economic news.