Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Cheki ulivo fala tunkunya!
Mwanzo umesema umesha withdraw uko njiani kwenda nmb bank, sasa hivi bado unasubiri mlio wa simbaking!!!
Tuna withdraw almost twice a week, zilizofika ni za juzi. Hizi ni za leo! Tena nnahofia zikafika next week maana wekend kwa wenzetu ishaanza!

That's the beauty of forex
 
A long as huo uuni wa forex unanipa kipato wala sina shida!!

Sina haja ya ku prove zaidi ya hapo maana mpaka hapo hujaamini basi hutokaa uamini.

BTW nimepokea meseji ya simbank mkwanja wangu umewasili bank!!

Ngoja nikauchomoe
Sina shida na hii biashara, na si kwamba mimi sihitaji, ukweli ni kwamba nahitaji sana lakini tatizo nimeshindwa kushuhudia bila shaka kuanzia mitandaoni mpaka kwa mtu ninayemfahamu niliyetegemea angenifumbua

Huwa najiuliza, Mtanzania huyu huyu asiyepitwa na fursa anahitaji nguvu kubwa kiasi gani kujua ishu zinazoleta pesa?

Mtanzania huyu huyu ni wa kushindwa kweli kuuona utajiri kwenye Forex?

Mnasema lazima upate elimu ya Forex ama sivyo utaangukia pua, Mtanzania ninayemfahamu hata biashara ingekuwa ya kilatini hashindwi

Kuna michezo na biashara nyingi za bahati nasibu hazikuhitaji nguvu watz kujua kuna hela, hata wasiojua mpira wanabett na wanapata hela

Hata mimi nisiyebett haihitaji nguvu kunishawishi maana naona watu wakipiga pesa ninaowafahamu na nisiowafahamu

Forex imeshindwa kunishawishi kuanzia kwa watu naowafahamu na nisiowafahamu

Naletewa maneno maneno tu

Jamaa yangu ana maneno kama ya humu anasema Forex ukiingia kichwa kichwa lazima upigwe

Namuuliza yeye kapiga pesa ngapi anazunguka zunguka tu

Mbona wa betting ukimuuliza anakuonyesha hela aliyokula

Narudia tena sina shida na Forex kama unapiga pesa hata mimi natamani kupiga, ni mjinga tu asiyependa pesa

Ni nyinyi wadau wake ndio mnaleta mashaka haya
 
Nikikumbuka vortex walivopiga laki 8 zangu daah naonea huruma hawa wanaojiunga cjui forex mara ai global mara cjui ujinga gn
Yawezekana ulipigwa kwa kukurupuka maana laki 8 ni apprx $350 kwa rate za sasa kwa pesa hyo kama uliingiza yote kwa pamoja yawezekana ukujua ata nn maana ya Risk management coz kama ungekuwa makini na pesa yako usingepigwa hvyo na inawezekana forex uijui ila unaisikia tu kwa watu. Nyie ndio mnaanza kufanya trade na kuanza kuweka LOT SIZE ya 0.5 au 1 kwa tamaa ya kupata pesa nyingi alafu unajikuta umeloose. No easy business in this world usipotumia pesa utatumia nguvu, muda, akili nk.
Alafu usifananishe forex na AI GLOBAL coz forex na network marketing ni vitu viwili tofauti na kila kimoja kina tricks zake za kuWIN so ukienda kichwa kichwa lazima ULIWE KICHWA. South Africa ndio nchi ya kwanza kujua ishu za forex africa nadhani kabla ata ya kenya na nigeria but wengi mpaka leo hii watu wanazid i kufanya na kupata mafanikio. Ukumbuke kuwa forex watu wanatumia zaid ya $1000 kwa ajili tu ya kujifunza kuanzia BIGINNER to PRO.
TAKE CARE msipochange na mimi nitakuja na ya kwangu nitapiga pesa alafu nitawaacha na umbumbu huo huo et mtu unataka ucheze forex kama BETTING kwa Mhind alaf et ufanikiwe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Alianza kama utani baada ya kurudi likizo ya semister ya mwisho huyu mshikaji wangu wa chuo sijui alikutana na nani huko kwao akamshauri kuhusu mambo ya forex,

Alivyorudi akanisimulia kuhusu hiyo inshu mi nilichomwambia ni kitu kimoja tu hiyo kitu ya forex mi nilishasoma sana mada zake huko Jamii forum kwa kina Ontario na kujua hasara na faida zake kuna watu wameunguza acount zao wanalia kilio cha mbwa koko hakunisikia,

Sasa bhana wale watu aliokutana nao huku wakawa wanamshauri anatoka dom to dar kwenye semina na darasa lao na kila akirudi story ni forex,forex na yeye,

Basi bhana miezi kadhaa imepita baada ya kutrade sana na ile acount ya dermal kafungua real Account kinachomkuta huko mi sijui naona tu kila siku anauza vitu,

Alianza na Laptop yake min, akafata desk top yake ,juzi kati kauza mtungi mkubwa wa gase pamoja na jiko lake, naona kabakiwa na friji pamoja na kitanda na ata hivyo naona analipigia mahesabu friji anataka kuliuza na hilo sasa sijui kimempata nini huko kwenye forex,

Daily nampa ushauri aachane na hiyo biashara yake ya forex naona hanisikii sasa mi nasubiri kuona mwisho wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
Zero Iq nakuelewa sana, ila mkuu? we ni mrengo wa kushoto au kuria?
 
Sina shida na hii biashara, na si kwamba mimi sihitaji, ukweli ni kwamba nahitaji sana lakini tatizo nimeshindwa kushuhudia bila shaka kuanzia mitandaoni mpaka kwa mtu ninayemfahamu niliyetegemea angenifumbua

Huwa najiuliza, Mtanzania huyu huyu asiyepitwa na fursa anahitaji nguvu kubwa kiasi gani kujua ishu zinazoleta pesa?

Mtanzania huyu huyu ni wa kushindwa kweli kuuona utajiri kwenye Forex?

Mnasema lazima upate elimu ya Forex ama sivyo utaangukia pua, Mtanzania ninayemfahamu hata biashara ingekuwa ya kilatini hashindwi

Kuna michezo na biashara nyingi za bahati nasibu hazikuhitaji nguvu watz kujua kuna hela, hata wasiojua mpira wanabett na wanapata hela

Hata mimi nisiyebett haihitaji nguvu kunishawishi maana naona watu wakipiga pesa ninaowafahamu na nisiowafahamu

Forex imeshindwa kunishawishi kuanzia kwa watu naowafahamu na nisiowafahamu

Naletewa maneno maneno tu

Jamaa yangu ana maneno kama ya humu anasema Forex ukiingia kichwa kichwa lazima upigwe

Namuuliza yeye kapiga pesa ngapi anazunguka zunguka tu

Mbona wa betting ukimuuliza anakuonyesha hela aliyokula

Narudia tena sina shida na Forex kama unapiga pesa hata mimi natamani kupiga, ni mjinga tu asiyependa pesa

Ni nyinyi wadau wake ndio mnaleta mashaka haya
Mbona AFFILIATE marketing inaingiza pesa nyingi sana na Mtanzania huyu huyu wanaojua ni 0.1% tu na Mtanzania huyu huyu alikuwa anasema ADSENSE ni uongo lakini sasa hivi baada ya kusikia watu kadhaa wanapiga pesa kila mmoja akaanza kufungua BLOG.
Blog ikamshinda Mtanzania huyu wakaanza YOUTUBE channels lakini nako pamekuwa pamoto kwa wengi. Ukumbuke kuwa sasa ADSENSE imegeuka ukweli na sio uongo.
So let wait all things will be revealed, Guys just continue learning and trading.
UKWELI USIOPINGIKA waTZ tunajijua tunapenda kitu cha BOOM BAA yaan uweke pesa usubiri kupata faida ukiambiwa tu kuwa unatakiwa ujifunze sana free and paid balaa linaaza ndio maana wengi wamerud nyuma coz ata vitu vinavyozungumzwa kwenye forex ni TECHNICALS yaan kama ujatulia uwez kuelewa utakuwa unaona tu chenga.
Kama unaona FOREX ni ujinga kwa nn usijiunge na the same Brokers ufanye TRADING ya NASDAQ au NYSE kama mnavyotrade pale DSE? au DSE nako ni kamali?????
 
ROBERT KIYOSAKI anasema kwenye kitabu chake cha CASH FLOW QUADRANTS kuwa kuna wengine kazi yao ni kukuonyesha wewe njia ila wao hawafany hyo kitu sawa tu na Prof. wako university Anaekwambia kajiajiri wakat yeye ilimshinda au unaambiwa kilimo kinalipa alafu anaekupa motivation yeye anabaki tu ofisini, so wanaoamua kutake action wanajikuta wamefanikiwa na wengine wanaangukia pua.So kufanya maamuz ni juu yako kutokana na kila mtu anavyoweza kumudu RISK pale inapotokea balaa.... maana ata wanaosema wanajiajiri wengi wanakimbiaga na kuamua kutembeza baasha but wanaokomaa ndio unakuta baadae wanawaaajiri waliokuwa wamekimbia.
 
Sielewi kwa nini watu hawaelewi kuwa FOREX ni serious business. Watu wanacomment kama vile forex ni jambo la mzaha, forex ni business ambayo inaendesha dunia.
Tatizo wengi source zao ni humu humu jamii forum, fb, instagram na mitaani so wanaokutana nao ni ndugu zao ambao ni the same class so how can you know the real world wanaendeleaje? Labda niwasaie kwa wasiojua Kuna forum mbili kubwa kwa watu wanaotaka kuEARN MONEY ONLINE ukiwa unazipitia mara kwa mara itakusaidia kupata new ideas.. WORRIOR FORUM na QUORA na wataalam wanaweza kuADD wanazotumia.
Yaan sisi leo ndio tunaanza kuelimishana kuhusu forex wakat wenzetu tangu miaka 2005 watu walikuwa washaanza kujjadiliana kwenye magroup mbali mbali.
 
FOREX inahitaji serious investment katika kujifunza, kama unaenda kucheza kwa tamaa ya kutajirika wakati kichwa ni kitupu lazima uliwe.
 
Napenda watu wanaoidharau FOREX inayoendesha maisha yangu ya sasa, maana matajiri tutaongezeka mitaani alafu tukose watu wakubeba maguni, endeleeni kuiona hivyo hivyo ili muendelee kubeba mizigo yeti,........Mimi nipo TEMPLER mwanzo mwisho, mda wote utaniona natupia tuu trade zangu huku maisha yskisonga kirahisiiiiii
 
Napenda watu wanaoidharau FOREX inayoendesha maisha yangu ya sasa, maana matajiri tutaongezeka mitaani alafu tukose watu wakubeba maguni, endeleeni kuiona hivyo hivyo ili muendelee kubeba mizigo yeti,........Mimi nipo TEMPLER mwanzo mwisho, mda wote utaniona natupia tuu trade zangu huku maisha yskisonga kirahisiiiiii
Nina jamaa wangu jana nmetoka kumsindikiza kulipia office yake posta kwa ajili ya kufanya mishe zake za trading kama full time job alafu nashangaa wengine wanaidharau!! LIFE is Dynamic there is +ve and -ve , left and right it's your time to choose your position.
 
Sina shida na hii biashara, na si kwamba mimi sihitaji, ukweli ni kwamba nahitaji sana lakini tatizo nimeshindwa kushuhudia bila shaka kuanzia mitandaoni mpaka kwa mtu ninayemfahamu niliyetegemea angenifumbua

Huwa najiuliza, Mtanzania huyu huyu asiyepitwa na fursa anahitaji nguvu kubwa kiasi gani kujua ishu zinazoleta pesa?

Mtanzania huyu huyu ni wa kushindwa kweli kuuona utajiri kwenye Forex?

Mnasema lazima upate elimu ya Forex ama sivyo utaangukia pua, Mtanzania ninayemfahamu hata biashara ingekuwa ya kilatini hashindwi

Kuna michezo na biashara nyingi za bahati nasibu hazikuhitaji nguvu watz kujua kuna hela, hata wasiojua mpira wanabett na wanapata hela

Hata mimi nisiyebett haihitaji nguvu kunishawishi maana naona watu wakipiga pesa ninaowafahamu na nisiowafahamu

Forex imeshindwa kunishawishi kuanzia kwa watu naowafahamu na nisiowafahamu

Naletewa maneno maneno tu

Jamaa yangu ana maneno kama ya humu anasema Forex ukiingia kichwa kichwa lazima upigwe

Namuuliza yeye kapiga pesa ngapi anazunguka zunguka tu

Mbona wa betting ukimuuliza anakuonyesha hela aliyokula

Narudia tena sina shida na Forex kama unapiga pesa hata mimi natamani kupiga, ni mjinga tu asiyependa pesa

Ni nyinyi wadau wake ndio mnaleta mashaka haya
Sijui hata nikusaidiaje, maana kila kitu nimeweka hapa na kinajionyesha lakin bado huamini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom