Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Ontario bhana nukuu yake moja kajamaa kanasema hii biashara ya forex hata bank hawaijui na hawatak kabisa uijue, duh salute sana ontario




Sent using Jamii Forums mobile app
Umemiss quote ONTARIO, hakusema kwamba hta benki hawaijui hii biashara ya forex. Alichosema ni kwamba benki zinafanya hii biashara ya forex lakini kuna wafanyakazi wengi tu wa benki ambao hawaijui au hawajui kama benki zinafanya hii biashara. HILO NI KWELI SI KILA MFAKAZI WA BENKI ANAJUA KILA KITU KINACHOENDELEA NDANI YA BENKI ZIKIWEMO NA HASARA AMBAZO BENKI ZINAPATA. KUNA MAMBO MENGINE YA KIBENKI SIYO YA KU EXPOSE HOVYO HOVYO KWA KILA MFANYAKAZI WA BENKI.
 
karibuni
Screenshot_20190111-124214.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanapiga pesa kila siku.. forex inahitaji umakini wa hali ya juu, patient, risk management (hapa ndio tatizo lipo)
Bora ukalime vitunguu, nyanya.. waachien big boys
IMG_20190108_002911_786.jpeg
 
Najiulizaga maswali, kama forex dili kweli watz wasingeigundua mapema?
Kama Forex dili kwanini nguvu kubwa inatumika kuipromote?
Kama haina shida kwanini kuna malalamiko?


NB: Jamaa yangu anatrade cha ajabu anashindwa hata kulipa buku kama malipo ya gym tunayofanya mazoezi
Utakuja kumuelewa baadae sana, na huku ikiwa ni too late kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duuh kajenga Hosp kwa Forex... Huyo itakuwa alikuwa anashinda Library kusomaa piaa anajua Forex kuliko kitu chochotee

Sent using Jamii Forums mobile app
Usifikire kwamba forex unasoma tuuu, vitabu kama unataka kuwa professor.

Ile unasoma ukishaijua unarudi kwenye chart na kufuatilia kinachojiri duniani katika ulimwengu wa matukio ya kiuchumi na siasa basiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu inauma saba , nipo kwenye channel moja na watu wa mataifa ya ulaya, Asia na America. Kuna vijana Niko nao kule wanaijua forex tangu wakiwa na miaka 9. Kuna huyo mmoja anatokea Dubai yeye alikuwa anafundishwa na baba yake kufanya stocks tangu akiwa na miaka 10. Baada ya kuwa mtu mzima ndio kajiongeza kufanya Forex.


Kuna mzungu mmoja yeye huwa anatengeneza indicators za forex kwa kila anachosoma. Yaani kama ameaoma Quoter Theory yeye anaitengenezea indicator ili imsaidie trader. Jamaa nilisoma Biography yake kuwa ameijua forex tangu akiwa na miaka 16. Leo unashangaa mtanzania tena kwa cheap reasons anasema forex ni utapeli .



Ujamaa ulituharibu saaaana. Ulituziba kujua mambo mengi ya kidunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba link ya hiyo channel mkuu nikachote maarifa kidigo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haka kabiashara ukiingia kichwa kichwa utapigwa za uso sana..

Vijana kuweni makini, na sio FOREX na pia BITCOIN pamoja na NETWORK MARKETING kuweni makini nazo

USIJE UKASEMA HATUJAKWAMBIA, 2019 NI MWAKA WA MABADILIKO

Alishawahi kusema mtu ukiona unasisitizwa sana na kushawishiwa sana juu ya FURSA , kaa ujue kuwa wewe ndio FURSA!!!
Hii BITCOIN ilimliza ndugu yangu mwaka Jana kaingiza million yake asubir miezi minne ile ya kuvuna,longolongo zikaanza Mara kuna tatizo linshughulikiwa Mara malipo yamepunguzwa,pesa zikaenda hakupata chochote ,saivi hataki kusikia hizi habari
 
Mwambie aache upuuz kuna ndugu Yangu alikuja kunambia hii kitu ya forex nikamwambia hii kitu naijua zaman sana kabla yako kuna akili kubwa inaitwa Ontario iliileta jf watu wakapigwa akiwemo mwenye jf mwenyewe bwana mello na akili kubwa mwingine anaitwa ruge naye alipigwa pia

Biashara ni uzalishaji mali na Huduma hizi zingine ni majanga tu

Ontario bhana nukuu yake moja kajamaa kanasema hii biashara ya forex hata bank hawaijui na hawatak kabisa uijue, duh salute sana ontario
Daah nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom