Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Ningekuwa naangalia nani kapata nini ningeshaingia. Ila nina vigezo vyangu. Let me tell you, nikiona mtu successful namuuliza WHAT DO YOU DO AND HOW DO YOU DO IT? Then I go to work. $1000 Ku raise to $12,000 sio ajabu. I raised $5000 to over $150,000 in less than 3yrs.
You raised 5k$ to over 150k$ in less than 3 years, I appreciate that.
Okay,,, WHAT DO YOU DO AND HOW DO YOU DO IT?
 
Bahati mbaya hata hapa tunaoneshwa success tu, mbaya zaidi success zenyewe $50/100/200 haishawishi hata kidogo.
Kuna mnyakyusa mmoja humu aliwahi fungua thread account yake ilikuwa na $100k tena alificha tu jina la kwanza. Alisema ameiraise in 2 months from something less than $1000...


Naye alionesha kama ushuhuda... bahati mbaya nimeisahau ile thread

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie aache upuuz kuna ndugu Yangu alikuja kunambia hii kitu ya forex nikamwambia hii kitu naijua zaman sana kabla yako kuna akili kubwa inaitwa Ontario iliileta jf watu wakapigwa akiwemo mwenye jf mwenyewe bwana mello na akili kubwa mwingine anaitwa ruge naye alipigwa pia

Biashara ni uzalishaji mali na Huduma hizi zingine ni majanga tu

Ontario bhana nukuu yake moja kajamaa kanasema hii biashara ya forex hata bank hawaijui na hawatak kabisa uijue, duh salute sana ontario
:D:D:D
 
Please Traders fanyeni kazi. Mwaka ndio huu umeanza na Leo Ni tarehe 2. Hata mungu anaona tunavyojitahidi kutumia haki yetu ya kikatiba kutoa maoni ya kuwajenga wenzetu kuhusu forex.



Sijawahi kusikia forex trader anamlalamikia raisi magufuli kuwa kabana ajira. Forex ni career. Ni kazi Kama kazi zingine. Please tujikite na soko. Najua kama wewe ni true forex trader unaelewa nini unafanya. Usiyumbishwe na mtu. Usitumie muda mwingi kujustify forex ni nini kwa "mpumbavu" tena.


Ni bora muda huo uutumie kuchambua soko na pairs zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una kazi
 
Najiulizaga maswali, kama forex dili kweli watz wasingeigundua mapema?
Kama Forex dili kwanini nguvu kubwa inatumika kuipromote?
Kama haina shida kwanini kuna malalamiko?


NB: Jamaa yangu anatrade cha ajabu anashindwa hata kulipa buku kama malipo ya gym tunayofanya mazoezi
 
Alianza kama utani baada ya kurudi likizo ya semister ya mwisho huyu mshikaji wangu wa chuo sijui alikutana na nani huko kwao akamshauri kuhusu mambo ya forex,

Alivyorudi akanisimulia kuhusu hiyo inshu mi nilichomwambia ni kitu kimoja tu hiyo kitu ya forex mi nilishasoma sana mada zake huko Jamii forum kwa kina Ontario na kujua hasara na faida zake kuna watu wameunguza acount zao wanalia kilio cha mbwa koko hakunisikia,

Sasa bhana wale watu aliokutana nao huku wakawa wanamshauri anatoka dom to dar kwenye semina na darasa lao na kila akirudi story ni forex,forex na yeye,

Basi bhana miezi kadhaa imepita baada ya kutrade sana na ile acount ya dermal kafungua real Account kinachomkuta huko mi sijui naona tu kila siku anauza vitu,

Alianza na Laptop yake min, akafata desk top yake ,juzi kati kauza mtungi mkubwa wa gase pamoja na jiko lake, naona kabakiwa na friji pamoja na kitanda na ata hivyo naona analipigia mahesabu friji anataka kuliuza na hilo sasa sijui kimempata nini huko kwenye forex,

Daily nampa ushauri aachane na hiyo biashara yake ya forex naona hanisikii sasa mi nasubiri kuona mwisho wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujamwelewa huyo rafiki yako, hapo amenunua nyumba kupitia hiyo forex sasa anahamishia vitu vyake kwenye hiyo nyumba kidogo kidogo😁😁😁😁
 
Status
Not open for further replies.
59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom