Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Mkuu kama unataka kufanya biashara yoyote ( Si tu Forex ) Kwasababu umesikia mtu ametengeza kiasi kadhaa Kwa wiki au mwezi upo katika dalili za awali za kupata hasara katika biashara hiyo kabla ya kuanza biashara.


Sijawahi kusikia Mfanyabiashara yoyote duniani aliefanikiwa alijiingiza kwenye biashara kwasababu za kuvutiwa na kiwango cha Pesa alichosikia kimetengenezwa na MTU flani. Ukiingia kwenye biashara yoyote kwa mantiki hiyo lazima ulie mwisho wa siku. Unakumbuka waliovamia biashara ya matikiti, Mayai ya kwale n.k.. Kawaulize sasa hivi kilichowakuta. Wengine waliambiwa heka moja ya matikiti unaweza kupata million 30.



Hata wale walioenda pale kWa Ontario nilijua kuanzia mwanzo wengi watapata hasara. Kwasababu wengi walijiunga na forex kwa vigezo kama vyako.


NB: Nakuomba utafute maarifa mitandaoni. Kama ni mvivu wa kusoma itumie YouTube vizuri. Hakuna ambacho hakipo YouTube. Mimi asilimia zaidi ya 80 ya knowledge ya Forex nimejifunza mwenyewe kwa msaada wa YouTube na Vitabu. Kutoka YouTube kuna MTU anaitwa Adam Khoo huyu ndio kanisaidia sana sana. Nadhani ni RAIA wa Indonesia. Ana video yake kule ya forex introduction lazima uelewe.



NB: Forex sio biashara ya kupata biashara haraka kama unavyodhani. Tembelea tutorial zote za waliofanikiwa lazima uambiwe hiki. Kufanikiwa haraka ni wewe tu na knowledge yako. Kuna Jamaa namfahamu mwezi December kaweka capital ya USD 1000 na Leo tunavyozungumza ana USD 12,000... Ila kuna wengine kwa kiasi hicho hicho mpaka sasa wameshachoma account. Nadhani kwa huo mfano utakuwa umejifunza kitu.

Lastly usiingie kwenye forex kwa kushawishiwa na posts za profits. Ingia kwenye biashara kwa kuelewa biashara ilivyo. Hizo Pesa ni matokeo ya juhudi zako tu.
Amini nakwambia siku ukija kujua real Forex ilivyo, utajikataa mwenyewe. Achana na hii ya WALIMU uchwara wa kufundishana kila siku support & resistance, etc.Jifue mwenyewe halafu ulete mrejesho hapa.


Have a good Blessed Sunday.
Regards.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Adam Khoo hata mimi namuangaliaga yuko vizuri saana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank God nimepitia thread yote nimemaliza
Kuna tatizo watanzania hatuna udadisi wa vitu ambavyo tunajidai tunavipenda
Enzi zetu zile kulikuwa na watu ni wapenzi wakubwa filam za James Bond lakini ukiwauliza real name ya James Bond anaitwa nani hawawezi kukwambia the same applied kwa wapenzi wa Mr, Bean
Mimi nimeona watu wengi humu wana urge humu lakini ile tuu kuupitia huu uzi wote word to word wengi wao hawajadiriki
Mimi mwenyewe ni Muhanga wa hili nimekaa kwenye sector ya fedha zaidi ya miaka 18 lakini sikuwahi kudiriki kutaka kujua kama kuna dunia nyingine ya Online Forex Trading
Niliwahi kufanya manual trading kwenye DSE nisiseme uongo mimi ni miongoni mwa watu wachache tuliopiga pesa nzuri kwenye IPO ya Twiga, NICO na UTT lakini niwaambie ukweli 90% ya waajiriwa walioko kwenye sector ya Fedha ni weupe saana
Nilichogundua ktk jamii zetu kuna mambo ya kutishana sana na mtu anakutisha ktk kitu ambacho yeye mwenyewe hakijui
Siku 4 zilizopita nimekutana na Dogo mmoja hapa Dubai ndio ameanza kunitoa tongo tongo. Na ktk siku hizo 4 mimi ni kujichimbia kwenye YouTube kwa kweli kuna hazina kubwa ya Elimu humo nimekutana na Adam Khoo. Na hapo ndio nilipogundua tatizo jingine kwamba mtu kitu unakipenda lakini hutaki ku dedicate muda kwa ajili ya kukifanyia utafiti, wengi tunapenda blah blah za humu JF udandie issue katikati uanze kukomenti, kubisha, kutukana na kadhaalika. Hayo nimeyaona leo humu humu JF kwenye thread iliyokuwa inahusu Hydroponic Fodder Systems ni thread ambayo ilikuwa na posts takriban 650 lakini unaona kabisa watu wanauliza silly questions kiasi kwamba angesoma posts 100 zilizopita angeweza pata jibu sahihi

Ktk siku 4 zilizopita niseme ule ukweli najuta kwanini sikuijua mapema Forex
Na uzuri wenyewe wanatahadharisha watu wasiingie na mentality kwamba unaingia kwenye biashara ya kuwa Milionea haraka haraka kuna misingi yake na ukiangalia kwa undani hii ndio misingi ya biashara zote Duniani nayo ni :


Keys to be Big Trader in Forex

1. Consistency
2. Discipline
3. Confidence
4. Patience
5. Passion





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank God nimepitia thread yote nimemaliza
Kuna tatizo watanzania hatuna udadisi wa vitu ambavyo tunajidai tunavipenda
Enzi zetu zile kulikuwa na watu ni wapenzi wakubwa filam za James Bond lakini ukiwauliza real name ya James Bond anaitwa nani hawawezi kukwambia the same applied kwa wapenzi wa Mr, Bean
Mimi nimeona watu wengi humu wana urge humu lakini ile tuu kuupitia huu uzi wote word to word wengi wao hawajadiriki
Mimi mwenyewe ni Muhanga wa hili nimekaa kwenye sector ya fedha zaidi ya miaka 18 lakini sikuwahi kudiriki kutaka kujua kama kuna dunia nyingine ya Online Forex Trading
Niliwahi kufanya manual trading kwenye DSE nisiseme uongo mimi ni miongoni mwa watu wachache tuliopiga pesa nzuri kwenye IPO ya Twiga, NICO na UTT lakini niwaambie ukweli 90% ya waajiriwa walioko kwenye sector ya Fedha ni weupe saana
Nilichogundua ktk jamii zetu kuna mambo ya kutishana sana na mtu anakutisha ktk kitu ambacho yeye mwenyewe hakijui
Siku 4 zilizopita nimekutana na Dogo mmoja hapa Dubai ndio ameanza kunitoa tongo tongo. Na ktk siku hizo 4 mimi ni kujichimbia kwenye YouTube kwa kweli kuna hazina kubwa ya Elimu humo nimekutana na Adam Khoo. Na hapo ndio nilipogundua tatizo jingine kwamba mtu kitu unakipenda lakini hutaki ku dedicate muda kwa ajili ya kukifanyia utafiti, wengi tunapenda blah blah za humu JF udandie issue katikati uanze kukomenti, kubisha, kutukana na kadhaalika. Hayo nimeyaona leo humu humu JF kwenye thread iliyokuwa inahusu Hydroponic Fodder Systems ni thread ambayo ilikuwa na posts takriban 650 lakini unaona kabisa watu wanauliza silly questions kiasi kwamba angesoma posts 100 zilizopita angeweza pata jibu sahihi

Ktk siku 4 zilizopita niseme ule ukweli najuta kwanini sikuijua mapema Forex
Na uzuri wenyewe wanatahadharisha watu wasiingie na mentality kwamba unaingia kwenye biashara ya kuwa Milionea haraka haraka kuna misingi yake na ukiangalia kwa undani hii ndio misingi ya biashara zote Duniani nayo ni :


Keys to be Big Trader in Forex

1. Consistency
2. Discipline
3. Confidence
4. Patience
5. Passion





Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana na karibu chamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thank God nimepitia thread yote nimemaliza
Kuna tatizo watanzania hatuna udadisi wa vitu ambavyo tunajidai tunavipenda
Enzi zetu zile kulikuwa na watu ni wapenzi wakubwa filam za James Bond lakini ukiwauliza real name ya James Bond anaitwa nani hawawezi kukwambia the same applied kwa wapenzi wa Mr, Bean
Mimi nimeona watu wengi humu wana urge humu lakini ile tuu kuupitia huu uzi wote word to word wengi wao hawajadiriki
Mimi mwenyewe ni Muhanga wa hili nimekaa kwenye sector ya fedha zaidi ya miaka 18 lakini sikuwahi kudiriki kutaka kujua kama kuna dunia nyingine ya Online Forex Trading
Niliwahi kufanya manual trading kwenye DSE nisiseme uongo mimi ni miongoni mwa watu wachache tuliopiga pesa nzuri kwenye IPO ya Twiga, NICO na UTT lakini niwaambie ukweli 90% ya waajiriwa walioko kwenye sector ya Fedha ni weupe saana
Nilichogundua ktk jamii zetu kuna mambo ya kutishana sana na mtu anakutisha ktk kitu ambacho yeye mwenyewe hakijui
Siku 4 zilizopita nimekutana na Dogo mmoja hapa Dubai ndio ameanza kunitoa tongo tongo. Na ktk siku hizo 4 mimi ni kujichimbia kwenye YouTube kwa kweli kuna hazina kubwa ya Elimu humo nimekutana na Adam Khoo. Na hapo ndio nilipogundua tatizo jingine kwamba mtu kitu unakipenda lakini hutaki ku dedicate muda kwa ajili ya kukifanyia utafiti, wengi tunapenda blah blah za humu JF udandie issue katikati uanze kukomenti, kubisha, kutukana na kadhaalika. Hayo nimeyaona leo humu humu JF kwenye thread iliyokuwa inahusu Hydroponic Fodder Systems ni thread ambayo ilikuwa na posts takriban 650 lakini unaona kabisa watu wanauliza silly questions kiasi kwamba angesoma posts 100 zilizopita angeweza pata jibu sahihi
Ktk siku 4 zilizopita niseme ule ukweli najuta kwanini sikuijua mapema Forex
Na uzuri wenyewe wanatahadharisha watu wasiingie na mentality kwamba unaingia kwenye biashara ya kuwa Milionea haraka haraka kuna misingi yake na ukiangalia kwa undani hii ndio misingi ya biashara zote Duniani nayo ni :
Keys to be Big Trader in Forex
1. Consistency
2. Discipline
3. Confidence
4. Patience
5. Passion
Sent using Jamii Forums mobile app
hii forex nilianza kijifunza kazi na ratiba zikabana nikaacha kwanza natafuta mda nijifunze tenaa
 
Thank God nimepitia thread yote nimemaliza
Kuna tatizo watanzania hatuna udadisi wa vitu ambavyo tunajidai tunavipenda
Enzi zetu zile kulikuwa na watu ni wapenzi wakubwa filam za James Bond lakini ukiwauliza real name ya James Bond anaitwa nani hawawezi kukwambia the same applied kwa wapenzi wa Mr, Bean
Mimi nimeona watu wengi humu wana urge humu lakini ile tuu kuupitia huu uzi wote word to word wengi wao hawajadiriki
Mimi mwenyewe ni Muhanga wa hili nimekaa kwenye sector ya fedha zaidi ya miaka 18 lakini sikuwahi kudiriki kutaka kujua kama kuna dunia nyingine ya Online Forex Trading
Niliwahi kufanya manual trading kwenye DSE nisiseme uongo mimi ni miongoni mwa watu wachache tuliopiga pesa nzuri kwenye IPO ya Twiga, NICO na UTT lakini niwaambie ukweli 90% ya waajiriwa walioko kwenye sector ya Fedha ni weupe saana
Nilichogundua ktk jamii zetu kuna mambo ya kutishana sana na mtu anakutisha ktk kitu ambacho yeye mwenyewe hakijui
Siku 4 zilizopita nimekutana na Dogo mmoja hapa Dubai ndio ameanza kunitoa tongo tongo. Na ktk siku hizo 4 mimi ni kujichimbia kwenye YouTube kwa kweli kuna hazina kubwa ya Elimu humo nimekutana na Adam Khoo. Na hapo ndio nilipogundua tatizo jingine kwamba mtu kitu unakipenda lakini hutaki ku dedicate muda kwa ajili ya kukifanyia utafiti, wengi tunapenda blah blah za humu JF udandie issue katikati uanze kukomenti, kubisha, kutukana na kadhaalika. Hayo nimeyaona leo humu humu JF kwenye thread iliyokuwa inahusu Hydroponic Fodder Systems ni thread ambayo ilikuwa na posts takriban 650 lakini unaona kabisa watu wanauliza silly questions kiasi kwamba angesoma posts 100 zilizopita angeweza pata jibu sahihi

Ktk siku 4 zilizopita niseme ule ukweli najuta kwanini sikuijua mapema Forex
Na uzuri wenyewe wanatahadharisha watu wasiingie na mentality kwamba unaingia kwenye biashara ya kuwa Milionea haraka haraka kuna misingi yake na ukiangalia kwa undani hii ndio misingi ya biashara zote Duniani nayo ni :


Keys to be Big Trader in Forex

1. Consistency
2. Discipline
3. Confidence
4. Patience
5. Passion





Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachofanya wengi kufail katika forex trading ni ile mentality ya GET RICH QUICK. Watu wanaaminishwa na matepeli wa forex kwamba forex ni kupiga hela tu tena fasta fasta. Wanawapa elimu ya uongo na kweli ya siku mbili tatu (forex basics) lakini nyuma ya pazia hawa trainers wanakuwa na mission ya kupiga hela kupitia hao wanafunzi wao. Mwisho wa siku hawa wanafunzi wa forex waanza kutrade live na kuambulia kipigo cha mbwa koko na mwisho wa siku wanaichukia na kuona kwamba forex ni kama utapeli. Ni kweli kwenye forex kuna hela kama utakuwa na hayo uliyoyasema. But namba 1 . ni Elimu sahihi ya forex na kuipenda hii business. Upendo (passion) juu ya jambo lolote huleta nguvu za ajabu za kulifanya hilo jambo hata kama litakuwa gumu kiasi ganai!
 
Unateseka na forex we jamaa, utafikir umetukopesha mitaji
Wazee wakufungua multiple ids halafu kwenye uzi wao wanajazana kibao " I'd hii iki comment hii inatetea hoja" .... wewe ukikaa huelewi kumbe wanakuchota akili .. zile I'ds zote zina milikiwa na mtu mmoja haha ....

Waweza kuona uzi umejaa I'd karibia 50 zinatetea kuwa forex ni real kumbe ids hizo zina milikiwa na watu wa tatu tu ..wenye simu tofauti tofauti .... Daah Ontario noma sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kufanya biashara ya Forex huu ujumbe unapatikana kwa kila broker awapatie trader wake.. Sasa sijui kama nyie huwa mnaelewa kinachoandikwa hapo.


Yaani mtu mzima unafananisha Ujinga ujinga na upuuzi wa Qnet na Forex ?? Biashara ambayo ni halali kwenye nchi ya dunia za kwanza miaka na miaka. Hiyo Qnet ni pyramid scheme bussines ambayo katika nchi kama marekani ni kosa la jinai kufanya Ponzi bussines na ukikamatwa ni kifungo.



Ninachojifunza hapa, watanzania ni wavivu wa kutafuta maarifa kabisa. Hufanya maamuzi kwa kusikia watu wanasema nini. Mtu akisikia Deci anaenda. Akisikia D9 anaenda . Akisikia Forex anaenda ila hana sababu zake za kiutafiti kwanini kafanya hayo maamuzi.


Amini nakwambia ukifanya utafiti wako kuhusu biashara ya forex bila kuwa bias utakuja kunitafuta siku moja. Kama una king'amuzi cha Dstv weka channel namba 411 (Bloomberg Tv) naamini utaelewa Forex ni nini.




Sasa Kama MTU anasema forex ni utapeli hivi ukisikia biashara ya stocks, commodities, indices na shares si ndio mtasema ni ujambazi. Hebu nikusaidie tafuta gazeti la either The citizen au Daily News nenda kwenye ukurasa wa bussines utakuta FOREX,INDICES,SHARES & commodities zinachambuliwa vyema kabisa.

Maarifa Maarifa Maarifa .... Tafuteni maarifa. Inauma sana mwaka 2019 bado kuna kiumbe duniani anasema FINANCIAL MARKETS ni utapeli . Bado kuna mtu anashidwa tofautisha Marketing Network na Financial Markets.




View attachment 982938

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama walikuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa amefungua Forex wallet, na wanamhifadhia vitu vyake online, acheni majungu na wivu nyie watu. Fursa za Forex ni nyingi na nyingi ni za kampuni yenyewe.
 
Bado sijaona tajiri halisi mbongo kwenye hii biashara, watatoka mabilionea wachache Sana sababu the business is real na haiaminiki , mabilionea tutabaki kuwa wachache mno sababu utajiri ni imani ,
Umeshindwa kuiamini forex, amini utajiri wa makete njombe basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado sijaona tajiri halisi mbongo kwenye hii biashara, watatoka mabilionea wachache Sana sababu the business is real na haiaminiki , mabilionea tutabaki kuwa wachache mno sababu utajiri ni imani ,
Umeshindwa kuiamini forex, amini utajiri wa makete njombe basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Poor mentality! Kwani wafanya biashara wote ni mabilionea? Forex ni biashara kama zilivyo biashara nyingine hivyo kila mtu anafanya hii biashara kulingana na targets zake. Siyo kila anayefanya biashara lazima awe bilionea hayo ni mawazo pori na nakuomba uyaondoe kichwani mwako!
 
Poor mentality! Kwani wafanya biashara wote ni mabilionea? Forex ni biashara kama zilivyo biashara nyingine hivyo kila mtu anafanya hii biashara kulingana na targets zake. Siyo kila anayefanya biashara lazima awe bilionea hayo ni mawazo pori na nakuomba uyaondoe kichwani mwako!
Fact
 
Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom