Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi mshaurini Slaa agombee Uspika kwani ameangukia pua kwenye uraisi, au bado mna matumaini?