CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
shost yangu katumiwa sms na bf wake ya kumuomba mchango wa harusi. walikuwa wapenzi pindi wapo chuo baada ya kumaliza chuo kila mmoja akarudi kwao. mkaka kwao ni dsm na mdada kwao ni mkoan. thou hawakuwa na promise za kuoana bt mkaka kamstukiza.je mkaka atakuwa serious au anamjaribu?shost kachanganyikiwa.ushaur plz!