nikiangalia katika mitandao ya kijamii, nikisiliza redio na vyombo vingine vya habari watu wengi wamechoshwa na ccm, utafiti wangu unaonyesha wanaoendelea kuikumbatia ccm ni watu wanaonufaika moja kwa moja na ccm, watoto, ndugu au marafiki wa viongozi na wafanyakazi wa vyombo ambavyo wamiliki wake wanafaidika na ccm, mbali na hapo hakuna watu neutral wanaopenda ccm, sasa nachoshangaa hivi kura zinazosomwa na tume zimepatikana wapi?