Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,191
- 4,103
Askari wa Kenya wakimbia mvua baaada ya Rais Samia kumaliza kuhutubia bunge. Askari hao walikimbia na kwenda kujificha kwenye baraza la bunge.
Hilo ni tukio la ajabu kwa askari kuogopa kulowana na mvua. Picha ya juu ni askari wakiwa wamejipanga kabla ya mvua na picha ya pili ni baada ya wao kukimbia na eneo kubaki tupu.
Hilo ni tukio la ajabu kwa askari kuogopa kulowana na mvua. Picha ya juu ni askari wakiwa wamejipanga kabla ya mvua na picha ya pili ni baada ya wao kukimbia na eneo kubaki tupu.