MSHANA JR VS THE BOSS PIGA KURA HAPA NANI RAIS WA JF?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,840
17,438
Baada ya mchujo leo ndo kumpigia kura nani anafaa kuwa mshindi na rais wa jf kwa muda wa mwaka mmoja
Na ni mshana jr vs The Boss
Atakayeshinda ataendeleza umoja na mshikamano wetu kama jamiiforums
Unapiga kura kwa kuandika jina la muhusika kati ya mshana jr na The Boss
Atakayeshinda ndiye rais wa jf mpaka tar 31 dec 2018 yaani mwaka mmoja
Haya piga kura yako sasa
NB:Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 31 dec 2016 saa 4 kamili usiku.
Haya chagua sasa
mshana jr vs The Boss
 
Duuuh bora ungemuweka mshana jr na the bold....kwa huu msimu unamuonea huyo boss
Mshindi Mshana jr
 
Baada ya mchujo leo ndo kumpigia kura nani anafaa kuwa mshindi na rais wa jf kwa muda wa mwaka mmoja
Na ni mshana jr vs The Boss
Atakayeshinda ataendeleza umoja na mshikamano wetu kama jamiiforums
Unapiga kura kwa kuandika jina la muhusika kati ya mshana jr na The Boss
Atakayeshinda ndiye rais wa jf mpaka tar 31 dec 2018 yaani mwaka mmoja
Haya piga kura yako sasa
NB:Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 31 dec 2016 saa 4 kamili usiku.
Haya chagua sasa
mshana jr vs The Boss
NA AKILIZAKO BADO UNATAFUTA RAISI WA JF

UNAHISI DARUSO HII

HIVYO ViROBA AVIFAII KUNYWENI CHALLENGER AMA EMPIRE VYA UGANDA VIWAINGIE VIZuriI
 
Baada ya mchujo leo ndo kumpigia kura nani anafaa kuwa mshindi na rais wa jf kwa muda wa mwaka mmoja
Na ni mshana jr vs The Boss
Atakayeshinda ataendeleza umoja na mshikamano wetu kama jamiiforums
Unapiga kura kwa kuandika jina la muhusika kati ya mshana jr na The Boss
Atakayeshinda ndiye rais wa jf mpaka tar 31 dec 2018 yaani mwaka mmoja
Haya piga kura yako sasa
NB:Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 31 dec 2016 saa 4 kamili usiku.
Haya chagua sasa
mshana jr vs The Boss
Nani amekupa mamlaka ya kufanya huu upuuzi hapa JF?
 
NA AKILIZAKO BADO UNATAFUTA RAISI WA JF

UNAHISI DARUSO HII

HIVYO ViROBA AVIFAII KUNYWENI CHALLENGER AMA EMPIRE VYA UGANDA VIWAINGIE VIZuriI
Mkuu wakati wenzake wanatafuta maisha yeye anatafuta raisi wa JF..!! halafu mtu kama huyu anakuja hapa na kuanza kulalamika eti maisha magumu!!
 
Baada ya mchujo leo ndo kumpigia kura nani anafaa kuwa mshindi na rais wa jf kwa muda wa mwaka mmoja
Na ni mshana jr vs The Boss
Atakayeshinda ataendeleza umoja na mshikamano wetu kama jamiiforums
Unapiga kura kwa kuandika jina la muhusika kati ya mshana jr na The Boss
Atakayeshinda ndiye rais wa jf mpaka tar 31 dec 2018 yaani mwaka mmoja
Haya piga kura yako sasa
NB:Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 31 dec 2016 saa 4 kamili usiku.
Haya chagua sasa
mshana jr vs The Boss

Africa ahidaa
 

Attachments

  • IMG-20161231-WA0006.jpeg
    IMG-20161231-WA0006.jpeg
    74.3 KB · Views: 70
  • IMG-20161231-WA0002.jpeg
    IMG-20161231-WA0002.jpeg
    75.1 KB · Views: 64
Mkuu wakati wenzake wanatafuta maisha yeye anatafuta raisi wa JF..!! halafu mtu kama huyu anakuja hapa na kuanza kulalamika eti maisha magumu!!
Ameshapataaa shirobaaa shatanzaniaa ama ahiiburudaniii hapooo uweziimsaidiaa kichwani kaandika Latino anajua Raisi/makamu n yeyeew
 

Attachments

  • IMG-20161231-WA0006.jpeg
    IMG-20161231-WA0006.jpeg
    74.3 KB · Views: 67
  • IMG-20161231-WA0004.jpeg
    IMG-20161231-WA0004.jpeg
    93.7 KB · Views: 83
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom