Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,116
- 7,425
ππππππππBibi atawaslimisha wote wasio wa upande wake. That's what she does best.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππBibi atawaslimisha wote wasio wa upande wake. That's what she does best.
Wakiungana na zurriBibi atawaslimisha wote wasio wa upande wake. That's what she does best.
Kiranga na mshana hawawezi kukaa pamoja maana mshana alishawahi mwanzishia hadi srediQUOTE labda kiranga ndo ataleta kidogo mtafaruku
QUOTE labda kiranga ndo ataleta kidogo mtafaruku
Money Penny asisahaulike atakuwa anasupply mgegedo
Yaah trueWatafanya ugunduzi utakao ishangaza dunia
πππ na Zurri
Wakiungana na zurri
Huyu mdau ameamua kunitusi,ila mimi nimempa udhuru na kumpa amani kadhalika.Unamaanisha Zurri ni mama?
Unaishi naye mafinga kwani huyu babymke....
Bibi kimeo hamna kitu paleNa Bibi yetu wa Jf
πππππ jamani kuna watu wachokozi
Kuitwa 'Mama' sio tusi hata kidogo, fikiria upendo ulio nao kwa mama mzazi.Huyu mdau ameamua kunitusi,ila mimi nimempa udhuru na kumpa amani kadhalika.
Google ndo dereva,siku ikizimwa utaona maajabu.Watafanya ugunduzi utakao ishangaza dunia
Kwangu hili ni tusi,sababu hajaweka tamko hilo mahala pake na linachukiza. Mwanaume kuitwa mwanamke kwa dhulma ni tusi.Kuitwa 'Mama' sio tusi hata kidogo, fikiria upendo ulio nao kwa mama mzazi.
Angekuita 'Danga' hapo hata mimi ningekimbia.
Sikubaliani na wewe.Hawawezi kufanya lolote maana mawazo yao mengi wanayotoa hapa ni mawazo ya watu ambayo wao wanafanya kusoma tu kwenye vitabu tofauti na kisha kuwasilisha hapa kwa wasiopenda kujisomea. Hapo itakuwa ni umbea tu kwendea mbele