BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,360
- 4,149
Ndugu usisite kujibu hili swali sababu utakuwa umewasaidia wengi, Watu wanafurahi sana kujua kuhusu Biashara/Taaluma na kazi za watu wengine na nadhani baadhi yao watahamasishwa na majibu yetu.
Hata kama ni Biashara share nasi aina ya Biashara unayoifanya na faida unayoipata, baada ya majibu watu watajiongeza kujua kipi cha kufanya
Mimi Binafsi nafanya kazi katika Kampuni ya usafirishaji, Mzigo ukitua Bongo mm ndio nasimamia kila kitu kuutoa Zanzibar na kuufikisha bandari ya Dar, hii kazi inanikutanisha na watu wengi wa kila aina. Mshahara ni wa kawaida 800,000/= TZS lakini ofisi nzima kitengo nilicho Mimi ndio kina marupurupu kama yote, Sababu Mimi ndio nacheza na TRA bado sijakutana na Customers wenye mizigo yao, so kabla mwisho wa mwezi haujafika hapo katikati Kuna pesa nyingi nakutana nazo lakini Mungu si Shemeji yangu Pesa bado haitoshi majukumu ni Mengi
Ebu fungukeni wadau pengine Kuna machaka ya pesa ndefu halafu mmekaa kimya
NB: Watu wa Forex na Cryptocurrency pita kwa ku like tu tafadhali, nawaandalia Uzi wenu
Hata kama ni Biashara share nasi aina ya Biashara unayoifanya na faida unayoipata, baada ya majibu watu watajiongeza kujua kipi cha kufanya
Mimi Binafsi nafanya kazi katika Kampuni ya usafirishaji, Mzigo ukitua Bongo mm ndio nasimamia kila kitu kuutoa Zanzibar na kuufikisha bandari ya Dar, hii kazi inanikutanisha na watu wengi wa kila aina. Mshahara ni wa kawaida 800,000/= TZS lakini ofisi nzima kitengo nilicho Mimi ndio kina marupurupu kama yote, Sababu Mimi ndio nacheza na TRA bado sijakutana na Customers wenye mizigo yao, so kabla mwisho wa mwezi haujafika hapo katikati Kuna pesa nyingi nakutana nazo lakini Mungu si Shemeji yangu Pesa bado haitoshi majukumu ni Mengi
Ebu fungukeni wadau pengine Kuna machaka ya pesa ndefu halafu mmekaa kimya
NB: Watu wa Forex na Cryptocurrency pita kwa ku like tu tafadhali, nawaandalia Uzi wenu