Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajamvi ndugu yangu
ameitwa kazin ofisi tatu kwa mpigo , aliniuliza nimwambie mshahara wa
weo ii ni kiasi gani na kazi ipi ina maslahi kwake, za binafsi au
serikalini? Msaaaaaaaaaaada......
toa taarifa kamili hizo kazi nyingine ni zipi? sasa tutakuambiaje kazi ipi ina maslahi wakati haujaziandika? serikalini viwango vya mishahara vinafahamika sasa ni yeye alinganishe na huko private alipopata!Wanajamvi ndugu yangu ameitwa kazin ofisi tatu kwa mpigo , aliniuliza nimwambie mshahara wa weo ii ni kiasi gani na kazi ipi ina maslahi kwake, za binafsi au serikalini? Msaaaaaaaaaaada......
dbrane hongera kwa kupata kazi. Siku nyingine uwe mkweli, sawa?Wanajamvi ndugu yangu ameitwa kazin ofisi tatu kwa mpigo , aliniuliza nimwambie mshahara wa weo ii ni kiasi gani na kazi ipi ina maslahi kwake, za binafsi au serikalini? Msaaaaaaaaaaada......
Weo TGSD Ni kama 425150 basic salary.
Hakuna mtumishi wa serikali mwenye shahada anayelipwa Basic Salary ya 425150.
Tuambie basi mkuu, shilingi ngapi maana inaonesha una ufahamu ndugu!
WEO = ward executive officer kama nimekosea watarekebisha
WEO = ward executive officer kama nimekosea watarekebisha
Kama kukushauri serikalini security ni nzuri sana ila hiyo ya Swiss nafikiri ni nzuri sababu huku Serikalini itategemea umepangiwa wapi unawezapelekwa kijijini ambako hiyo Kata iko kijijini kabisa na siku hizi Madiwani wengi hawana kisomo halafu ni kazi za majungu sana wanaweza wakakuazimia ufukuzwe kazi na mtu ambaye hakwenda hata shule anakuazimia wewe mwenye digree ss chagua lakini ili ufanye kazi kwa amani chagua kazi nyingine WEO si kazi nzuriaende akafanya kazi ya u weo,
Ma WEO ni watu wakubwa sana kwenye kata wao ndio wasimamizi wa shughuli zote za maendeleo katika kata yao
WEO's wanabajeti zao na akaunti benki ambayo yeye ni mmoja wa watia saini.
ma WEo wanaviposhoposho vingi sana pia wanashirikishwa sana na NGO's zinazofanya kazi kwenye kata zao.
pia ma WEO wengi wanachaji pesa za kugonga mihuri za barua za utambulisho mf benki.
Pia ukiwa WEO unaweza baadae ukahamishiwa ofisi kuu ya halmashauri kufanya kazi nyingine inayoendana na elimu yako nimeshuhudia maweo wamebadilishwa kuwa maafisa utumishi na hata maafisa mipango huko halmashauri.
Pia WEo hufi njaa utajulikana sana kwenye kata yako, ma weo wanakuwa na marafiki wengi sana kutokana na kazi zao
za kijamii.
Mwambie huyo ndg yako achague utumishi wa umma, kwa kuanzia ni dili sana hatajuta kabisa hapo baadae
Kama kukushauri serikalini
security ni nzuri sana ila hiyo ya Swiss nafikiri ni nzuri sababu huku
Serikalini itategemea umepangiwa wapi unawezapelekwa kijijini ambako
hiyo Kata iko kijijini kabisa na siku hizi Madiwani wengi hawana kisomo
halafu ni kazi za majungu sana wanaweza wakakuazimia ufukuzwe kazi na
mtu ambaye hakwenda hata shule anakuazimia wewe mwenye digree ss chagua
lakini ili ufanye kazi kwa amani chagua kazi nyingine WEO si kazi
nzuri