Umeitwa kwenye usaili ndugu?
mkuu,hii nchi ukisubiri kuitwa kwenye usaili,utasubiri sana..
Assistant tax officer net laki 9
hiyo ni kabla au baada ya makato?na vipi kuhusu custom officer?
Nini maana ya net??
dah!sorry,sikuliona hilo neno mkuu!
hiyo ni kabla au baada ya makato?na vipi kuhusu custom officer?
Assistant tax officer net laki 9
hiyo ni kabla au baada ya makato?na vipi kuhusu custom officer?
Nini maana ya net??
Net, maana yake chandarua!
mkuu,hii nchi ukisubiri kuitwa kwenye usaili,utasubiri sana..