Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa ligi Daraja LA tatu je,....Hawana mshahara wanapewa posho ya laki mbili kwa mechi, mwajiri wao ni chama cha referees, hii ni kwa wale wa premier league na daraja la kwanza!
Hao wa madaraja ya chini kitu cha uhakika ni kupata kichapo endapo upande mmoja hautaridhika na matokeo, kuhusu malipo ni negitiable!wa ligi Daraja LA tatu je,....
du...Hao wa madaraja ya chini kitu cha uhakika ni kupata kichapo endapo upande mmoja hautaridhika na matokeo, kuhusu malipo ni negitiable!
teh teh sasa ww ndio umepunguza dau kabisaMwamuzi atalipwa na chama cha soka ambacho kitakua ni mwenyeji wa michuano husika.
Mfano kwa Tanzania ligi kuu mwenyeji wa michuano ni TFF kwahiyo TFF ndiyo atakua analipa mwamuzi, mfano michuano ya Kinondoni KIFA ndiyo watamlipa mwamuzi katika michuano husika.
Malipo ya waamuzi kwa Tanzania ni posho, wanalipwa kulingana na uzito wa mechi, mwamuzi ambaye anaonekana anamudu michezo huyu ataweza kuamua mechi nyingi hivyo na malipo kua juu mfano kwa miaka mitano nyuma alikua Othman Kazi kisha akaja Israel Nkongo.
Hua wanafanya siri lakini nilisikia malipo yao hayapungui elfu 20 ila hayazidi laki moja.
Hahahah ila iko hivyo, zaidi ni kwakua waamuzi hua ni waajiriwa.teh teh sasa ww ndio umepunguza dau kabisa