Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,124
Bado saccosWe jamaa sijui unafanya kazi sehemu gani ambayo ni vilaza kiasi hicho.
Iko hivi, mshahara unaingia siku moja lakini kuingia kwenye akaunti zetu muda unatofautiana kutegemeana na benki. Hizo ni process za kibenki ndio zinatofautiana.
Kama hujui hilo basi wewe ni kilaza zaidi