WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Wanabodi Mambooooooz??
Aliyekuwa Mshambuliaji Mahiri wa Simba Mrisho Ngasa atakuwa akilipwa Mshahara wa Dola 4000 ambayo ni sawa na zaidi ya shilingi milioni 6 za kitanzania kila mwezi na Timu ya El-Merrekh ya Sudan katika mkataba wake wa miaka miwili alioingia na klabu hiyo ambayo imefanikiwa kuutwaa ubingwa wa nchi hiyo mara 18.
SOURCE:BBC/SPORTS.
Aliyekuwa Mshambuliaji Mahiri wa Simba Mrisho Ngasa atakuwa akilipwa Mshahara wa Dola 4000 ambayo ni sawa na zaidi ya shilingi milioni 6 za kitanzania kila mwezi na Timu ya El-Merrekh ya Sudan katika mkataba wake wa miaka miwili alioingia na klabu hiyo ambayo imefanikiwa kuutwaa ubingwa wa nchi hiyo mara 18.
SOURCE:BBC/SPORTS.