Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,044
- 1,996
Wanajamvi, habari za mahangaiko.
Naomba kuuliza anaejua mshahara wa mkuu wa idara elimu wilaya kwa upande wa secondary anijuze.
Nataka kujua DEO secondary ni kiasi gani cha mshahara anaweka kibindoni, anaejua atueleze wanandugu.
Nina sababu za kutaka kufaham.
Naomba kuuliza anaejua mshahara wa mkuu wa idara elimu wilaya kwa upande wa secondary anijuze.
Nataka kujua DEO secondary ni kiasi gani cha mshahara anaweka kibindoni, anaejua atueleze wanandugu.
Nina sababu za kutaka kufaham.