Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 805
- 1,390
Inamaana RUWASA hadi leo wamepiga kimya, tujuzane wakuu hakuna hata mmoja aliepigiwa simu hadi mda huu?
Kjana tupe feedback, kuhusu Ruwasa maana naona bado wapo kimya, vp watu walishaitwa?Kuna percentage unatakiwa upewe kwenye makusanyo utakayofanya..nimesahau Ni asilimia ngap
Bado ila soon as possible tuweni wavumilivuKjana tupe feedback, kuhusu Ruwasa maana naona bado wapo kimya, vp watu walishaitwa?
Bado ila soon as possible tuweni wavumilivu
Kabla hujauliza kupigiwa simu au la jiulize hili swali..Inamaana RUWASA hadi leo wamepiga kimya, tujuzane wakuu hakuna hata mmoja aliepigiwa simu hadi mda huu?
Maswala ya bajeti mpya si mpaka wa sabaa hapo kiongozKabla hujauliza kupigiwa simu au la jiulize hili swali..
Ukiapewa nafasi kwa sasa utalipwa kwa bajeti ipi?
Lazima waandae bajeti ambayo itajumuisha posho za watakao pata nafasi.
Sasa jiongeze maana najua unajua bajeti mpya inaanza mwezi gani..
Mwaka wa fedha 2021/2022Kabla hujauliza kupigiwa simu au la jiulize hili swali..
Ukiapewa nafasi kwa sasa utalipwa kwa bajeti ipi?
Lazima waandae bajeti ambayo itajumuisha posho za watakao pata nafasi.
Sasa jiongeze maana najua unajua bajeti mpya inaanza mwezi gani..
SidhaniKabla hujauliza kupigiwa simu au la jiulize hili swali..
Ukiapewa nafasi kwa sasa utalipwa kwa bajeti ipi?
Lazima waandae bajeti ambayo itajumuisha posho za watakao pata nafasi.
Sasa jiongeze maana najua unajua bajeti mpya inaanza mwezi gani..
Hv unauzoefuna hawa watu kaka ebu tudokezee poshooo ni shngap kaka mkubwaaaMwaka wa fedha 2021/2022
July
Mwaka wa fedha 2021/2022
July
30% ya makusanyo utakayofanyaHv unauzoefuna hawa watu kaka ebu tudokezee poshooo ni shngap kaka mkubwaaa
30%Hv unauzoefuna hawa watu kaka ebu tudokezee poshooo ni shngap kaka mkubwaaa
30%
Kwa wote mafundi,wahasibu na katibu
Mie mpk saa hv sijaelewa , naomba niwekwe sawa kitu kimoja hapa, kuna mdau mmoja alisema kuwa kuna ruwasa na jumuiya za ruwasa, jumuiya ndio hazina ishu kipato chake inategemea na jinsi makusanyo yenu na ndipo itakavyo determine posho zenu, sasa je kwa upande wa RUWASA wenyewe ambao ndio wasimamizi wa jumuiya pale malipo yao yanakuaje per months kwa waajiriwa wa fani za uhandisi, na wengineo30%
Kwa wote mafundi,wahasibu na katibu
Sijui maana afisa maendeleo nafasi zimekuja kwa Mara ya Kwanza baada ya waziri awesso kumwagiza mkurugenziNa sisi ma afisa maendeleo uko kazi gan kubwaaa ndugu yangu maaana kuna maafisa maendeeleo paleeee
Maswala ya bajeti mpya si mpaka wa sabaa hapo kiongoz
Mwaka wa fedha 2021/2022
July
Hayo ni mawazo na inaweza iwe au isiwe... lakini kiuhalisia serikali inafanya kazi kulingana na bajeti!Sidhani
Mkoaaa gani huoWapo training wenzako