Nangonga junior
New Member
- Apr 26, 2020
- 2
- 2
Waungwana naomba nifahamu mshahara wa msimamizi wa jumuiya miradai ya usambazaji wa maji vijijini RUWASA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya ushapaata ajira mkuu?Inategemea na makusanyo yenu
Bado ila soon as possibleoya ushapaata ajira mkuu?
Kvp kwa hiyo kwa kila mkoa watu wanatofautiana mshahara?Inategemea na makusanyo yenu
Ndio..kwa mfano jumuiya za Kilimanjaro wanalipwa mpk laki nne coz unakuta account Ina Zaidi ya million kumiKvp kwa hiyo kwa kila mkoa watu wanatofautiana mshahara?
Bado hawajaita.....pesa ya kujikimu utapewa ila kidogo pengine laki mbiliVp wakuu kuhusiana na kazi za kujitolea walizotangaza RUWASA mwezi uliopita ile deadline yake iliyokuwa tarehe 26/03/2021, wameshaita watu tayari au bado?
Na vp kuhusu kazi za kujitolea huwa unatolewa japo kaposho au ndio kazi ya kanisa? Wakuu naomba ufafanuzi kidogo kwa wenye uzoefu.
Duuh kazi kweli kweli, laki mbili yote si inaishia nauli alaf ukizingatia kazi zenyewe vijijini, iyo kweli inaitwa kujitolea, wahandisi tuko taabaniBado hawajaita.....pesa ya kujikimu utapewa ila kidogo pengine laki mbili
Ila wana mpango wa kuajiri watu au just watumie nguvu kazi za watu alaf mwisho wa siku kwishnei kila mtu atajijua mwenyewe, na vp kuhusiana na watu ambao walishaajiriwa permanent pale RUWASA mfano wa wahandisi malipo yao yanakuaje?Ndio..kwa mfano jumuiya za Kilimanjaro wanalipwa mpk laki nne coz unakuta account Ina Zaidi ya million kumi
Kwahiyo baada ya makato take home unaondoka nayo kama laki 6 au 5 na kitu hv, na Kwann miradi imeekezwa pesa nyingi ila malipo kwa wafanyakazi ni madogo? Au bado taasisi ni changa, maana kwa kumbukumbu yangu RUWASA imeanzishwa july 2019.kwa DMA yan wanaolipwa kwa wik n 56000 ukibahatika kuajiriwa starting salary 856000 inapanda kila mwaka kutokana na makusanyo yenu
Vp wafanyakazi wanapewa makaazi au ndio wanajitegemea wenyewe, ukizingatia kazi zenyewe ni vijijinikwa DMA yan wanaolipwa kwa wik n 56000 ukibahatika kuajiriwa starting salary 856000 inapanda kila mwaka kutokana na makusanyo yenu
Hahaa sio mchezounapambana mwenyew kikubwa ufke ofsin tu we utajua unalala wap
BadoWakuu hivi ruwasa bado hawajaita watu
Mkuu kwan na ww uliomba zile kazi za kujitolea?Wakuu hivi ruwasa bado hawajaita watu