Nimesoma kwa masikitiko gazeti la Mwananchi leo kuwa mshahara wa mbunge wa mwezi mmoja ni mshahara wa mwalimu wa msingi wa miaka mitatu na mshahara wa Medical Doctor wa mwaka mmoja. Pamoja na hayo bado wanataka kujiongezea. Kumbe ndio maana watu wanakimbilia ubunge