Happy daniel
Member
- Mar 20, 2012
- 18
- 1
Ua mistaken mr.
Mshahara wa kuanzia mtu wa degree polisi ni kama sh 20000 hivi,kwani utaanza na cheo cha Constebo na waweza kukaa nacho hadi mwaka kabla ya kufikiriwa kwenda kozi ya nyota,kwenda nyota sio automatic hivyo we take kuwa mshahara wa kuanzia ni ule wa constable pamoja na posho ya laki na nusu.Ukimaliza nyota if you are luck after atleast two years of joining the force then mshahara unapanda na kuwa wa Assistant Inspector ambao ni kama 35000 hivi if I am not mistaken.