ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 765
- 665
Kwa mwandiko huu utakuwa kuli hapo ofisini kwenu
Kwa mwandiko huu utakuwa kuli hapo ofisini kwenu
Mkuu watu wamepokea barua tayar za kupandishwa.Mnazungumzia nyongeza ya mshahara. Upi na wapi mmeona utumishi wameweka bajeti ya nyongeza ya mshahara?.. hata kama hamkusikia kauli ya mheshimiwa?
Wamekusikia mkuuWakati mwingine watumishi mnakaribisha wenyewe kudhalaurika hasa hizi nyuzi za kila mwezi kuulizia mshahara, hivi si mkae kimya mpaka muone kitu kwenye akaunti zenu, yaani mmekuwa watumwa wakusubiria mshahara mwisho wa mwezi.
Acheni kutudhalilisha na hivi vinyuzi vyenu uchwara, nyie ndio mnafanya watumishi waonekane wamepigika.
Real point....MkuuKila mtu kujiajiri inawekana kwenye society ya ujima tu. Kila mtu na kishamba akizalisha chakutosha kwa yeye na familia yake. The moment unaanza kuajiri mwingine ili kukidhi mahitaji ya nguvukazi, basi maana yake ni kwamba haiwezekani kila mtu akajiajiri.
Hivi hujiulizi kwa mfano, kama kila mtu atamiliki daladala, nani atakuwa dereva na konda?
Kama kila dada atakuwa mama lishe, nani atakuwa msaidizi wa mwenzie?
Society lazima iwe na waajiriwa wengi.
Wakati mwingine watumishi mnakaribisha wenyewe kudhalaurika hasa hizi nyuzi za kila mwezi kuulizia mshahara, hivi si mkae kimya mpaka muone kitu kwenye akaunti zenu, yaani mmekuwa watumwa wakusubiria mshahara mwisho wa mwezi.
Acheni kutudhalilisha na hivi vinyuzi vyenu uchwara, nyie ndio mnafanya watumishi waonekane wamepigika.
Well said.Mkuu wapotezee tu kama haikuhusu. Binafsi naona ni haki yao kuongelea ujira wao baada ya kazi hata wakiwa wanaanzisha threads kila siku.
Kama haikuhusu pita kimya tu sio kila thread ni lazima ushiriki.
Ni ushauri tu usijenge chuki
Wewe mwenyewe umeandika vishazi. Kwa mwandiko wako hata darasa la saba sidhani kama umemalizaUlichoandika unaweza kukisoma wewe mwenyewe...Ningekua najua unapofanyia kazi wewe japokua inaonekana ni serikalini ulitakiwa urudi shule ukasome namna ya kuandika japo ATM tu basi.
Sasa hao si ni Wa madaraja?Mkuu watu wamepokea barua tayar za kupandishwa.
Kazi kwelikweliUkiondoa kwa wale walio ktk mchakato wa kuongezewa mshahara kutokana na kupanda daraja wengine, Hakuna mabadiliko yoyote.
Dah hii kitu inauma japo nahisi ndio ukweli huuUkiondoa kwa wale walio ktk mchakato wa kuongezewa mshahara kutokana na kupanda daraja wengine, Hakuna mabadiliko yoyote.
AsantePoleni sana mnaotegemea mshahara wa mwisho wa mwezi
Mshahara mtalipwa mwisho wa mwezi. Fanyeni kaziJamani mshahara wa July umelipwa? Tupeane taarifa