Sema na sisi wabongo changamoto mtu kauliza swali rahisi sana lakutaja amount anayolipwa balozi hilo tu kila mtu kaja na atack ya uswahili mtupu kama maswali madogo hivi unatokwa na mishipa mara je makubwa itakuwaje mtegemea cha nduguye (ulitaka akutegemee wewe .......tujaribu tengeneza platform nzuri kwa ajili ya watu kujifunza na kuget inspired .....sio tutengeneze kizazi cha shombo na uswahilin
Kijana chacharika upate mradi wako. Mtegemea cha nduguye huwa maskini.Wadau,
Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ?
Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo?
Kuna ndugu yangu ni Balozi ila naona kama yupo yupo tu, hatumsomi.
Ni ujuaji tu wa kutaka kujifanya anajuaHalijielewi Hilo kilaza..ingekuwa hivo mbona kina mchechu alikuwa anakunja had 32m per month
Unamfahamu nani?Maada juu ya maada.
Wadau mimi binafsi nimekuwa na hamu kubwa ya kufanya kazi ubalozini(nje),na ktk ishu zangu za kielimu nimepanga niapply Diplomacy &IR ili tu niweze fikia haya matamanio yangu.Je, kule ubalozini ninaweza kwenda kuhudumu kama afisa wa cheo cha chini! Kama ndio, ni vitengo gani ambavyo maafisa wa chini tunaweza hudumu!
Ondoa kitengo cha defence attache coz I'm not a soldier.
Anadhan Kila mtu yupo chini ya utumishi au tamisemi.si ajabu ukute ni "rimwarimu" huko wilayani nyang'hwaleNi ujuaji tu wa kutaka kujifanya anajua
Huwezi kuhudumu hata mfagiaji tuMaada juu ya maada.
Wadau mimi binafsi nimekuwa na hamu kubwa ya kufanya kazi ubalozini(nje),na ktk ishu zangu za kielimu nimepanga niapply Diplomacy &IR ili tu niweze fikia haya matamanio yangu.Je, kule ubalozini ninaweza kwenda kuhudumu kama afisa wa cheo cha chini! Kama ndio, ni vitengo gani ambavyo maafisa wa chini tunaweza hudumu!
Ondoa kitengo cha defence attache coz I'm not a soldier.
Huwezi kuhudumu hata mfagiaji tu
Huamini dogo? Skia si kila unachosomea utakuja kukifanyia kazi. Usishangae ukaja kuwa uvccm pale lumumba Kaz yako Kila siku kusifia tu
Sasa rank ya chini ya mfagiaji ni ipi ambayo anastahili?Huwezi kuhudumu hata mfagiaji tu
Inshort asahau hata kuwa mfagiaji wa ubalozi hapo Burundi tu.Sasa rank ya chini ya mfagiaji ni ipi ambayo anastahili?
Ni kweli braza ila mi nilitamani hivyo.Huamini dogo? Skia si kila unachosomea utakuja kukifanyia kazi. Usishangae ukaja kuwa uvccm pale lumumba Kaz yako Kila siku kusifia tu
Ha ha ha ha Mbona wanajua mishahara ya wabunge mawaziri lakini hawawachukiiSasa we unataka kujua kuhusu mshahara wake ili iweje?
Huo Ndo mwanzo wa chuki
Kaajiriwe Kwanza wizara ya mambo ya nje maana watumishi wote wa balozi wanatoka wizara hiyo.Ni kweli braza ila mi nilitamani hivyo.
Daah!ila mzee hiyo ya kuwa sisiemu ni bora nikawe msafisha mtaro, usisiemu ni us....
Ndugu siyo lazima kuwapa pesa zipo mbinu kibao za kuwasaidia ikiwemo kuwafariji kuwa na Lugha ya Faraja kwao kuwatengenezea njia za kujikimu , ndugu ukiishi nao kwa mbinu hupati lawama, lakini ukijifanya kuwa na roho mbaya mchoyo dharau nyingi ndipo huanza mbinu mbalimbali za kukuchimba chimbaTatizo la waTanzania ni moja tu,hapo mmesha mfata na mashida yenu chungu mzima huku mmejifukiza na ubani awape pesa,kiasi cha kumtazama nduguyo na kusema yupo yupo tu kuna jambo ndani yako kua unamvizia kumpiga mzinga na asaidie ukoo mzima bila kujua ana maisha yake,mnadhani yeye mjinga? kafanye kazi kwa bidii utengeneze uchumi wako mwenyewe
Achana na hizo mambo za kufikiria pesa za ndugu yako, pambana utafute pesa zako, mshahara wake haukuhusu.