Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Wakuu,
Naona kama maRC , maDC hawapumui , hawalali na wanaishi kwa pressure mno muda wote kuhofia kibarua kuota majani, maana Mh. Rais hachelewi kumtoa mtu, hata kwa kosa dogo la mtu mwingine.
Hawa jamaa wanaishi roho juu sana.
Naona kujua mshahara wa RC na DC plus 'mema' ya nchi mengine kama marupurupu , night allowances , posho etc !
Hivi ni bora uwe RAS badala ya RC na DAS badala ya DC ?
Wataalamu tujage hapa...
Naona kama maRC , maDC hawapumui , hawalali na wanaishi kwa pressure mno muda wote kuhofia kibarua kuota majani, maana Mh. Rais hachelewi kumtoa mtu, hata kwa kosa dogo la mtu mwingine.
Hawa jamaa wanaishi roho juu sana.
Naona kujua mshahara wa RC na DC plus 'mema' ya nchi mengine kama marupurupu , night allowances , posho etc !
Hivi ni bora uwe RAS badala ya RC na DAS badala ya DC ?
Wataalamu tujage hapa...