Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,044
- 1,999
Hello wapendwa!
Samahani naomba tupeane elimu kidogo hapa. Nimepata kazi mahali fulani ambapo mshahara gross kwa mwezi ni laki saba lakini itanibidi nihamie Dar kwa ajili ya hiyo kazi.
Kwa sasa nafanya kazi mahali kama temporary na wananipa laki 4 ambayo haina Makato yoyote na pia nakaa nyumbani. Je wakuu huo mshahara ni fair kwa graduate au niikatae hiyo offer yao?
NB: Mkataba unasema nitakua napewa transport na airtime allowance kila wiki na baada ya probation ya miezi mitatu kuisha nitakua entitled to bonuses.
Samahani naomba tupeane elimu kidogo hapa. Nimepata kazi mahali fulani ambapo mshahara gross kwa mwezi ni laki saba lakini itanibidi nihamie Dar kwa ajili ya hiyo kazi.
Kwa sasa nafanya kazi mahali kama temporary na wananipa laki 4 ambayo haina Makato yoyote na pia nakaa nyumbani. Je wakuu huo mshahara ni fair kwa graduate au niikatae hiyo offer yao?
NB: Mkataba unasema nitakua napewa transport na airtime allowance kila wiki na baada ya probation ya miezi mitatu kuisha nitakua entitled to bonuses.