Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,279
- 3,775
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasenya sana kuni hao!
Jibu sahihiWanasenya sana kuni hao!
NdiyoJibu sahihi
Mapopoma ndiyo wamejaa JF Mkuu, na ndio wenye hela, kwahiyo haitasaidia kitu.Dah we jamaa umeharibu uzi wangu, ivi Kwann kama hauna Jibu sahihi usikae kimya tu
Kwani ni lazima kila uzi comment...?
Mnakera Sana jamani
JF expert need to clear this mess, JF imekuwa kama jalala, hakuna tena ma great thinkers,
Ningeshauri JF ianzishe utaratibu wa kutoza fedha kwa kila comment na thread mtu atakayo fungua.
Kila comment waweke walau mia tano, na kila uzi mtu anaofungua achajiwe elfu moja
Labda huu upupu Unaweza kupungua na kuirudisha JF kwenye hadhi yake
Hela ya bundle😁😁😁😁Mapopoma ndiyo wamejaa JF Mkuu, na ndio wenye hela, kwahiyo haitasaidia kitu.
Halafu ww si ndie yule unaeombaomba kule Kwenye uzi wako sijui Unajifanya Unaweza kufanya Kazi zaidi ya ya wasomiMapopoma ndiyo wamejaa JF Mkuu, na ndio wenye hela, kwahiyo haitasaidia kitu.
Musoma kuna wasenya au waisenyi?Makabila ya musoma
Nina jamaa zangu wawili mmoja anaitwa Msenye mwingine anaitwa Msenya wote wanatoka huko musoma, mengine siyafahamMusoma kuna wasenya au waisenyi?
Fafanua kidogo hapa....
Oooohh!Nina jamaa zangu wawili mmoja anaitwa Msenye mwingine anaitwa Msenya wote wanatoka huko musoma, mengine siyafaham
Sent using Jamii Forums mobile app