Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,697
- 9,774
Je, ushawahi kutana na ile kauli ya "wanaume wakimya waone hivihivi" kutoka kwa wanawake? Walio wengi huamini kuwa wanaume wakimya wanafanya mambo mengi hususan ya kingono wakiwa faragha! Ila inawawia vigumu watu wengi kuwanasa watu wa aina hii
Pia kuna kauli ya "wanaume wakimya ni mafundi katika uwanja wa kufanya mapenzi, kuwa akitoka na mwanamke, mwanamke huyu iwe isiwe lazima atalizishwa vya kutosha kiasi cha kukidhi haja yake ya kimapenzi, ingawaje inaaminiwa kuwa wanaume wa aina hii hawako romantic katika mahusiano, yaani kwa issue ya kupet pet n.k, mambo yao mengi sana yamefichika, huwa si waongeaji pia!
Mimi ni moja ya wanaume wakimya zaidi kuwahi kutokea ulimwenguni! Lakini sioni kama ukimya wangu una relate na performance yangu kitandani! Sio mzembe kivile, ila ni kwa kiasi ambacho siwezi kuwafikia wataalamu wa kidunia! Ukimya wangu si kwamba ni natural, ila ni kwa vile huwa nakosa cha kuongea pindi niwapo na partner, najiuliza nizungumze naye kuhusu nini! Tumseme mtu, hapana! Nimuulizie kuhusu yeye, hapana! Yote kumhusu nayafahamu! Hivyo tunabaki kutazamana tu!
Nawavutia wasichana wengi hapa mtaani! Wanatamani japo nizungumze nao walau kwa salamu, ikitokea nimekaa na mmoja wapo, basi, wengine hujisogeza taratibu kupindua mazungumzo! Nachukuliwa mtu serious saana na maisha! Ujanja wangu ni kwenye sms na social media tu! Hakuna mwanamke hapa mtaani nimejaribu japo kwa kumuita akakataa! Hata ninaowabahatisha kuwa nao kimapenzi, inakuwa ni ngumu kwa wao kuniacha ingawa sifikii level za kimataifa!!
Hivi ni nani aliwadanganya wanawake kuwa wanaume wakimya ni wa kuwang'ang'ania katika mahusiano? Kwamba wana upendo wa dhati licha ya kuwa na partner wengi?
Ngoja tuone wao wanawazungumzia vipi wanaume wakimya!!
Pia kuna kauli ya "wanaume wakimya ni mafundi katika uwanja wa kufanya mapenzi, kuwa akitoka na mwanamke, mwanamke huyu iwe isiwe lazima atalizishwa vya kutosha kiasi cha kukidhi haja yake ya kimapenzi, ingawaje inaaminiwa kuwa wanaume wa aina hii hawako romantic katika mahusiano, yaani kwa issue ya kupet pet n.k, mambo yao mengi sana yamefichika, huwa si waongeaji pia!
Mimi ni moja ya wanaume wakimya zaidi kuwahi kutokea ulimwenguni! Lakini sioni kama ukimya wangu una relate na performance yangu kitandani! Sio mzembe kivile, ila ni kwa kiasi ambacho siwezi kuwafikia wataalamu wa kidunia! Ukimya wangu si kwamba ni natural, ila ni kwa vile huwa nakosa cha kuongea pindi niwapo na partner, najiuliza nizungumze naye kuhusu nini! Tumseme mtu, hapana! Nimuulizie kuhusu yeye, hapana! Yote kumhusu nayafahamu! Hivyo tunabaki kutazamana tu!
Nawavutia wasichana wengi hapa mtaani! Wanatamani japo nizungumze nao walau kwa salamu, ikitokea nimekaa na mmoja wapo, basi, wengine hujisogeza taratibu kupindua mazungumzo! Nachukuliwa mtu serious saana na maisha! Ujanja wangu ni kwenye sms na social media tu! Hakuna mwanamke hapa mtaani nimejaribu japo kwa kumuita akakataa! Hata ninaowabahatisha kuwa nao kimapenzi, inakuwa ni ngumu kwa wao kuniacha ingawa sifikii level za kimataifa!!
Hivi ni nani aliwadanganya wanawake kuwa wanaume wakimya ni wa kuwang'ang'ania katika mahusiano? Kwamba wana upendo wa dhati licha ya kuwa na partner wengi?
Ngoja tuone wao wanawazungumzia vipi wanaume wakimya!!