MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 713
- 1,136
Kumezuka msemo mpya wa kuchomoa betri baada ya ajali mbaya ya moto iliyochukua zaidi ya maisha ya Watanzania mia moja.
Wizara ya Mwakyembe ichukue hatua kukataza magazeti hasa ya michezo.
Msemo huo umekua maarufu sana baada ya kusemekena ajali hiyo ilisababishwa na mmoja ya waliokuwa wakichota mafuta kujaribu kitoa betri.
Ilikuwa ni ajali mbaya sana kiasi kwamba mpaka bendera ya taifa ilishushwa nusu mlingoti kwa siku tatu.
Kuna familia zilipoteza wapendwa wao hivyo kila wakiona hayo maneno ya KUCHOMOA BETRI hukumbuka machungu waliyopitia wakati ule.
Tuache kuwakumbusha machungu ndugu zetu waliopoteza rafiki zao, ndugu zao, mama zao,baba zao.
Wizara ya Mwakyembe ichukue hatua kukataza magazeti hasa ya michezo.
Msemo huo umekua maarufu sana baada ya kusemekena ajali hiyo ilisababishwa na mmoja ya waliokuwa wakichota mafuta kujaribu kitoa betri.
Ilikuwa ni ajali mbaya sana kiasi kwamba mpaka bendera ya taifa ilishushwa nusu mlingoti kwa siku tatu.
Kuna familia zilipoteza wapendwa wao hivyo kila wakiona hayo maneno ya KUCHOMOA BETRI hukumbuka machungu waliyopitia wakati ule.
Tuache kuwakumbusha machungu ndugu zetu waliopoteza rafiki zao, ndugu zao, mama zao,baba zao.