Bedui la bongo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 297
- 305
Kuna msemo mmoja ambao watu wameuzoea sana utasikia jamaa anamguu mkubwa kama nini au anapiga kelele kama nini au mshkaji anaongea kama nini, anakula kama nini
Sasa naomba wakuu kujua hilo neno kama nini lina maana ya nini mana sielewi kama nini
Sasa naomba wakuu kujua hilo neno kama nini lina maana ya nini mana sielewi kama nini