Tulipatia mapishi ila mbwembwe zikakoleza chumvi saivi msosi haulikiUkisoma mitandao mingi ya kijamii watu siku hizi wana kamsemo ka kumalizia hoja zao. Utakuta mtu anatiririka hoja zake wee mwisho anafunga kwa; Tulikosea mahali 2015. Wanamaanisha nini?
Bora hao wale wanaosemaga "tutaelewana tu" mimi huwa siwaelewi kabisa...
Acheni uchonganish