jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 506
Aisee binafsi nakerwa sana na msemo Nyani haoni kundule
Sababu: hilo neno kundule naona kama nimetukanwa vile
Wewe ni msemo gani wa kiswahili una kukera? Na kwanini?
Sababu: hilo neno kundule naona kama nimetukanwa vile
Wewe ni msemo gani wa kiswahili una kukera? Na kwanini?