Mbona anaweweseka mapema? tulia dogo hata sisi huku hatupokei watu wenye imani ndogo. Tulia kwanza tukuthathmini kabla hujaja kwetu tusije jilaumu:whoo:
walewale. Hakuna jipya.Felix msemakweli mbunge wa nccr amekiri kuwa nccr ikiacha kutii na kusimamia maslahi ya watanzania yuko tayari kukipiga chini na kujiunga na chama chochote cha upinzani hata chadema.
Source star tv leo asubuhi
Felix msemakweli mbunge wa nccr amekiri kuwa nccr ikiacha kutii na kusimamia maslahi ya watanzania yuko tayari kukipiga chini na kujiunga na chama chochote cha upinzani hata chadema.
Source star tv leo asubuhi