mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Point zake kwa sasa zinaiweka simba kwenye nafasi ya 12 kwa africaSimba pia inaweza kuanzia raundi ya awali, lakini si kwa sababu ya kutokuwa bingwa ila kwa sababu za kuwa na point chache kulinganisha na walio juu yake. Lakini Yanga ni dhahiri hawezi kuanza raundi ya pili, point zake ni chache sana na si mwaka huu, hata miaka mitatu ijayo atahitaji azijengejenge. Sijajua kwa nini Manara aliongea vile, ni kwa kutojua au kwa kuwachukulia poa Wanayanga!