Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,499
- 9,279
Nsabimana Callixte maarufu Sankara aliyekuwa msemaji wa kundi la waasi la National Liberation Front amefikishwa mbele ya Mahakama mjini Kigali na kukiri mashtaka dhidi yake
Mwendesha mashtaka amesoma mashtaka 16 dhidi ya mshtakiwa huyo ambayo yana uhusiano na ugaidi, ujambazi wa kutumia silaha na ushirikiano na nchi ya kigeni kwa lengo la kuishambulia Rwanda
Sankara amekiri kushirikiana na Burundi pamoja na Uganda katika kuishambulia Rwanda na ameomba msamaha kwa Serikali pamoja na familia zote zilizoathirika kutokana na uhalifu alioufanya
Pia amekiri kundi hilo kuhusika na shambulizi la mwaka 2018.
Callixte alimakatwa Aprili nchini Comoro na kusafirishwa kwa siri kwenda Rwanda,
Mwendesha mashtaka amesoma mashtaka 16 dhidi ya mshtakiwa huyo ambayo yana uhusiano na ugaidi, ujambazi wa kutumia silaha na ushirikiano na nchi ya kigeni kwa lengo la kuishambulia Rwanda
Sankara amekiri kushirikiana na Burundi pamoja na Uganda katika kuishambulia Rwanda na ameomba msamaha kwa Serikali pamoja na familia zote zilizoathirika kutokana na uhalifu alioufanya
Pia amekiri kundi hilo kuhusika na shambulizi la mwaka 2018.
Callixte alimakatwa Aprili nchini Comoro na kusafirishwa kwa siri kwenda Rwanda,