uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 4,557
- 7,477
Mi yanga na jumapili nitaenda ground kushangilia simba tena nataka ishinde sana tu ili nizione tena timu kubwa kama esperance taifaWote mnaoshangalia timu za nje muwe ni mashabiki wa Yanga, Simba, takataka gani sijui! huwa nawaona hamnazo kabisa kichwani. Mniwie tu radhi.
Binafsi ni shabiki wa Yanga, lakini inapotokea Simba ikacheza na timu ya nje, ni ukweli ulio wazi! nitafarijika kuiona Simba ikishinda. Utaifa kwanza halafu utani wetu ubakie pale tu tunapocheza wenyewe kwa wenyewe.