mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Hongera Kwa kupima pima Pima! Ili zitumike test kits nyingi sana na ili manyang'au wenye meno wale ten percent nyingi sana maana kila test kit moja inayonunuliwa (Kwa kutumia pesa za mkopo zitakazolipwa na ribs juu na manyang'au wadogo wasiokuwa na meno kama MK254) manyang'au wenye meno wanapata ten percent!Hongera sana kwa ujasiri wa serikali yetu kuendelea kuweka wazi, hii imetupea ujasiri kama wananchi na kuunga juhudi za serikali na kuwa kimoja, tusijichokee jameni, tuendelee kupima kupima kupima, nchi hii hatupo dhaifu.