Msemaji wa Serikali: Serikali imeelekeza, imeonya na kusamehe vya kutosha. Sasa kuvichukulia hatua vyombo vya habari vinavyosambaza taarifa za uongo

Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko take, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Kwahiyo mlikuwa hamfuati Mkuu?
Kweli wakina Ndugai walikufanya kitu kibaya saana. Wewe umekuwa mmoja wa Waimba Mapambio mno safari hii.
 
Taarifa hii ya Msemaji Mkuu ni ya kiwango kidogo cha uandishi unaoweza kuruhusu habari za uongo.

Ofisi hii kubwa ya Msemaji wa Serikali walau ingejitahidi kwa kuweka mfano mmoja au miwili hai ya aina za habari zilizo trend za uongo bila kutaja chombo cha habari angalau taarifa hii ingechukuliwa kwa uzito wake.
 
Kama kwa kibinyo ambacho serikali inakitoa kwa uhuru wa vyombo vya habari, na bado inaona imeelekeza vya kutosha, imeonya vya kutosha na imesamehe vya kutosha, hata kulazimika sasa kuchukua HATUA KALI za kisheria, hapo tatizo baya linachukua hatua nyingine mbaya zaidi.
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P

Mlikosea long time wakati makanjanja wanaanza now its too late
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Aanze na TANZANITE FAHARI YETU maana hayo magazeti muda sii mrefu yataleta mauaji ya kimbari
 
Mlikosea long time wakati makanjanja wanaanza now its too late
Its never too late for anything, better late than never!.
Makanjanja walishamiri kwasababu ya uwepo wa mazingira wezeshi kuwawezesha kustawi, ukiwemo ukosekanaji wa viwango vya udhibiti, sheria mpya ya habari inaanzisha bodi ya ithibati ya waandishi wa habari, kiwango cha chini ni diploma, kiwango cha juu ni degree, makanjanja wengi watakuwa kicked out of system wenyewe, kama sisi wapiga dili tunavyoisoma number ya awamu hii ya JPM.
P
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Kwa manufaa ya umma
 
Ni kweli uandishi wa habari ni taaluma na ina miiko ,taratibu zake ,tunaomba avishughulikie/au awashughulikie wote ambao wanaenda nje ya maadili yao ya kazi bila upendeleo .Bila kubagua itakubalika kabisa lakini ukionekana uonevu kwa baadhi ya media itakuwa haina maana .
Kuna magazeti yanashinda kutukana viongozi yanaachwa tu lakini mengine yanafungiwa mfano sauti za simu za akina Nape bado tunaona kimya na tuhuma za magazeti ya Msiba yafanyiwe kazi maana yanachanganya jamii
 
Hata Wayahudi walishusha credibility ya Masiya na wakamsulubisha, itakuwa kapuku mimi kushushwa credibility na Bibi Kalamba?.
P
Pascal kama umerukwa akili ni sawa endelea hivyo hivyo, vinginevyo jitathmini. Yaani unawezaje kukubaliana na kila uchafu unaotamkwa na serikali (huu wa Abbas ukiwemo) wakati serikali hiyo hiyo ni bingwa wa kupika uongo!!? Wanataka wasemwe vizuri wakati ndio mabingwa wa propaganda chafu!!!
 
Huyu jamaa bure kabisa, ni wazi kaandika hii twit akitumaini Magufuli ataisoma, maana sidhani kama haya yeye mwenyewe ndani ya moyo wake anakubaliana na alichosema! Ndicho kilichobaki kwa hawa viongozi wa Tanzania!
Ni nzuri kuchambua hoja alizosema msemaji wa serikali kwa undani ili tuweze kusema wanachosema sio sahihi
Mimi naungana nae kwa asilimia mia kwa kuzingatia kigezo cha uhadishi wa habari ni atakuja ambayo ina misingi,kanuni,taratibu na sheria hivyo kama kuna chombo linakuwa hiyo misingi ni lazima sheria ifuatwe
 
Back
Top Bottom